KKKT, Walokole je, ni sawa kwa mwanamke alie kwenye hedhi kuendesha ibada?

KKKT, Walokole je, ni sawa kwa mwanamke alie kwenye hedhi kuendesha ibada?

sawa, hili fundisho kuna madhebu wanalizingatia sana na hawampi mwanamke nafasi ya kuendesha ibada na kusimama mbele ya wanaume ila madhehebu mengine wanakuambia pazia la hekalu lilipopasuka, patakatifu pa patakatifu pakawa panafikiwa na watu wote, hakuna kizuizi
Mfano wasabato hawaruhusu mwanamke kufundisha kanisani au kuwa mchungaji cha ajabu mwanzilishi wa kanisa la sabato ni mwanamke na mafundisho wanayofundishana ni ya huyo mwanamke Hellen White ya Vitabu vyake

Mwanamke Hellen White anafundisha wanaume wa kisabato madhabahuni kupitia vitabu vyake

Halafu wanasema ohh Mwanamke haruhusiwi kichekesho
 
Hapo zamani KKKT hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa Walokole. Je, kwa mwanamke alie kwenye mzunguko, ni sawa kuendesha ibada takatifu?

Ni kinyume hata kwa agano jipya kitabu cha 1Timotheo 2 inayohusu maagizo ya utaratibu wa ibada.

1 Timotheo 2:12 >> "Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya."


Mnahangaikaga na mambo ya ajabu sana:

1.
2.
3.
998,000,000 - Utakatifu.
999,000,000 - Hedhi kwa mtumishi.

Farisayo wewe!
 
Zaman hakukuwa n Pampas ndio maana hedhi ilionekana ni uchafu saana. Siku hzi hedhi na Ile Hali sio uchafu Kwa sabAbu kuna njia za kujisitiri. So waache waongoze ibada.hamna shida.

Shida IPO kwenu wanamapokeo....
Zamani walikuwa anatumia pamba na nguo maalum ukisoma isaya 30:22 utagundua hili ila sijajua ni kwa sababu gani kwenye bible ya kiswahili wamebadilisha maaana hebu tuone

English bible isaiah 30:22 kjv
22. Ye shall defile also the covering of thy graven images of silver, and the ornament of thy molten images of gold: thou shalt cast them away as a menstruous cloth; thou shalt say unto it, Get thee hence.

Swahili bible kjv isaya 30:22
22. Nanyi mtakitia najisi kifuniko cha sanamu zenu za fedha zilizochongwa, na mabamba ya sanamu zenu za dhahabu zilizoyeyushwa; utazitupilia mbali kama kitu najisi; utasema, Haya, toka hapa.
 
Mfano wasabato hawaruhusu mwanamke kufundisha kanisani au kuwa mchungaji cha ajabu mwanzilishi wa kanisa la sabato ni mwanamke na mafundisho wanayofundishana ni ya huyo mwanamke Hellen White ya Vitabu vyake

Mwanamke Hellen White anafundisha wanaume wa kisabato madhabahuni kupitia vitabu vyake

Halafu wanasema ohh Mwanamke haruhusiwi kichekesho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwanamke akiwa kwenye damu ya nivazi au hedhi haruhusiwi kuwa madhabahuni...

Anakuwa kwenye unajisi...

Luka 8:45

Turejee kwenye neno pale Yesu aliposhikwa na mwanamke aliyetokwa na damu miaka kumi na miwili..

Luka 8:46 Kuna mtu amenigusa maana nguvu zimenitoka...
 
Zaman hakukuwa n Pampas ndio maana hedhi ilionekana ni uchafu saana. Siku hzi hedhi na Ile Hali sio uchafu Kwa sabAbu kuna njia za kujisitiri. So waache waongoze ibada.hamna shida.

Shida IPO kwenu wanamapokeo....
Mwanamke akiwa kwenye hedhi kuna mambo mengi anayabeba kuliko huo uchafu unaoongelea,
Jiulize inakuaje akichuma pilipili, chungwa, mchaichai, majani ya maboga, n.k akiwa kwenye hiyo hali mmea mzima unanyauka, hapo utagundua kuna zaidi ya huo uchafu.
 
Mwanamke akiwa kwenye hedhi kuna mambo mengi anayabeba kuliko huo uchafu unaoongelea,
Jiulize inakuaje akichuma pilipili, chungwa, mchaichai, majani ya maboga, n.k akiwa kwenye hiyo hali mmea mzima unanyauka, hapo utagundua kuna zaidi ya huo uchafu.
Huu utafiti wako wa kishirikina sio kisayansi

Kisayansi hakuna kitu kama hicho mshirikina wewe
 
Hapo zamani KKKT hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa Walokole. Je, kwa mwanamke alie kwenye mzunguko, ni sawa kuendesha ibada takatifu?

Ni kinyume hata kwa agano jipya kitabu cha 1Timotheo 2 inayohusu maagizo ya utaratibu wa ibada.

1 Timotheo 2:12 >> "Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya."
Hapo amesema kufundisha ibada? Thibitisha au umeongeza maneno yako
 
Huu sio ushirikina, ni jambo ambalo lipo kabisa ni kwavile hata sayansi yenyewe imeshindwa kujua chanzo chake
Mmmm sio kweli ni porojo tu kama zile za mja mzito akila mayai mtoto akizaliwa atakuwa hana nywele
 
Mwanamke akiwa kwenye hedhi kuna mambo mengi anayabeba kuliko huo uchafu unaoongelea,
Jiulize inakuaje akichuma pilipili, chungwa, mchaichai, majani ya maboga, n.k akiwa kwenye hiyo hali mmea mzima unanyauka, hapo utagundua kuna zaidi ya huo uchafu.
Tanga na sumbawanga acheni ushirikina
 
Kama shida ni hedhi,vipi vikongwe waliokoma hedhi? Ruksa kufundisha?
 
Tanga na sumbawanga acheni ushirikina

Kasome maoni ya watu hapo, jamiicheck wenyewe wameshindwa kukanusha.
 
Hapo zamani KKKT hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa Walokole. Je, kwa mwanamke alie kwenye mzunguko, ni sawa kuendesha ibada takatifu?

Ni kinyume hata kwa agano jipya kitabu cha 1Timotheo 2 inayohusu maagizo ya utaratibu wa ibada.

1 Timotheo 2:12 >> "Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya."
Kwani upo kwee hedhi,kama hukisikii vizuri pumzika tu!
 
Hizo hedhi mnaziona big deal nyie watoto wadogo. Sie tuliooa wala hazitushangazi kabisa na huwa tunasaidia kuzichoma
 
Hapo zamani KKKT hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa Walokole. Je, kwa mwanamke alie kwenye mzunguko, ni sawa kuendesha ibada takatifu?

Ni kinyume hata kwa agano jipya kitabu cha 1Timotheo 2 inayohusu maagizo ya utaratibu wa ibada.

1 Timotheo 2:12 >> "Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya."
Naomba nikuulize kwenye kitabu cha Biblia hakuna nabii mwanamke??
 
Back
Top Bottom