KKKT, Walokole je, ni sawa kwa mwanamke alie kwenye hedhi kuendesha ibada?

KKKT, Walokole je, ni sawa kwa mwanamke alie kwenye hedhi kuendesha ibada?

Mwanamke akiwa kwenye hedhi kuna mambo mengi anayabeba kuliko huo uchafu unaoongelea,
Jiulize inakuaje akichuma pilipili, chungwa, mchaichai, majani ya maboga, n.k akiwa kwenye hiyo hali mmea mzima unanyauka, hapo utagundua kuna zaidi ya huo uchafu.
Hizi ni stori za kutunga ukahadithiwa na wewe ukazibeba kama zilivyo hakuna kitu kama hicho hii ni mbinu ya kumnyanyapaa mwanamke .
 
Hapo zamani KKKT hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa Walokole. Je, kwa mwanamke alie kwenye mzunguko, ni sawa kuendesha ibada takatifu?

Ni kinyume hata kwa agano jipya kitabu cha 1Timotheo 2 inayohusu maagizo ya utaratibu wa ibada.

1 Timotheo 2:12 >> "Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya."
Haina shida kabisa. Kuwa katika siku zake ni mambo ya mwilini na ibada ni ya rohoni
 
Back
Top Bottom