Mfano wasabato hawaruhusu mwanamke kufundisha kanisani au kuwa mchungaji cha ajabu mwanzilishi wa kanisa la sabato ni mwanamke na mafundisho wanayofundishana ni ya huyo mwanamke Hellen White ya Vitabu vyakesawa, hili fundisho kuna madhebu wanalizingatia sana na hawampi mwanamke nafasi ya kuendesha ibada na kusimama mbele ya wanaume ila madhehebu mengine wanakuambia pazia la hekalu lilipopasuka, patakatifu pa patakatifu pakawa panafikiwa na watu wote, hakuna kizuizi
Hapo zamani KKKT hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa Walokole. Je, kwa mwanamke alie kwenye mzunguko, ni sawa kuendesha ibada takatifu?
Ni kinyume hata kwa agano jipya kitabu cha 1Timotheo 2 inayohusu maagizo ya utaratibu wa ibada.
1 Timotheo 2:12 >> "Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya."
Zamani walikuwa anatumia pamba na nguo maalum ukisoma isaya 30:22 utagundua hili ila sijajua ni kwa sababu gani kwenye bible ya kiswahili wamebadilisha maaana hebu tuoneZaman hakukuwa n Pampas ndio maana hedhi ilionekana ni uchafu saana. Siku hzi hedhi na Ile Hali sio uchafu Kwa sabAbu kuna njia za kujisitiri. So waache waongoze ibada.hamna shida.
Shida IPO kwenu wanamapokeo....
Ah wow,kazi yako unaijua khaswaZipo pia za wazee ama watu wazima. Tuulize sisi waosha/safishamikundu ya wazee wazungu.
Kumbuka pampas imesimamia diapers kama sheli- petrol station, ama sado -debe, toyo -bodaboda, mfuko wa Rambo take away- plastic bags
ITR inamankusweke
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mfano wasabato hawaruhusu mwanamke kufundisha kanisani au kuwa mchungaji cha ajabu mwanzilishi wa kanisa la sabato ni mwanamke na mafundisho wanayofundishana ni ya huyo mwanamke Hellen White ya Vitabu vyake
Mwanamke Hellen White anafundisha wanaume wa kisabato madhabahuni kupitia vitabu vyake
Halafu wanasema ohh Mwanamke haruhusiwi kichekesho
Mwanamke akiwa kwenye hedhi kuna mambo mengi anayabeba kuliko huo uchafu unaoongelea,Zaman hakukuwa n Pampas ndio maana hedhi ilionekana ni uchafu saana. Siku hzi hedhi na Ile Hali sio uchafu Kwa sabAbu kuna njia za kujisitiri. So waache waongoze ibada.hamna shida.
Shida IPO kwenu wanamapokeo....
Huu utafiti wako wa kishirikina sio kisayansiMwanamke akiwa kwenye hedhi kuna mambo mengi anayabeba kuliko huo uchafu unaoongelea,
Jiulize inakuaje akichuma pilipili, chungwa, mchaichai, majani ya maboga, n.k akiwa kwenye hiyo hali mmea mzima unanyauka, hapo utagundua kuna zaidi ya huo uchafu.
Huu sio ushirikina, ni jambo ambalo lipo kabisa ni kwavile hata sayansi yenyewe imeshindwa kujua chanzo chakeHuu utafiti wako wa kishirikina sio kisayansi
Kisayansi hakuna kitu kama hicho mshirikina wewe
Hapo amesema kufundisha ibada? Thibitisha au umeongeza maneno yakoHapo zamani KKKT hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa Walokole. Je, kwa mwanamke alie kwenye mzunguko, ni sawa kuendesha ibada takatifu?
Ni kinyume hata kwa agano jipya kitabu cha 1Timotheo 2 inayohusu maagizo ya utaratibu wa ibada.
1 Timotheo 2:12 >> "Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya."
Mmmm sio kweli ni porojo tu kama zile za mja mzito akila mayai mtoto akizaliwa atakuwa hana nyweleHuu sio ushirikina, ni jambo ambalo lipo kabisa ni kwavile hata sayansi yenyewe imeshindwa kujua chanzo chake
Porojo gani wakati watu wameshuhudia hiliMmmm sio kweli ni porojo tu kama zile za mja mzito akila mayai mtoto akizaliwa atakuwa hana nywele
Tanga na sumbawanga acheni ushirikinaMwanamke akiwa kwenye hedhi kuna mambo mengi anayabeba kuliko huo uchafu unaoongelea,
Jiulize inakuaje akichuma pilipili, chungwa, mchaichai, majani ya maboga, n.k akiwa kwenye hiyo hali mmea mzima unanyauka, hapo utagundua kuna zaidi ya huo uchafu.
Tanga na sumbawanga acheni ushirikina
Kwani upo kwee hedhi,kama hukisikii vizuri pumzika tu!Hapo zamani KKKT hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa Walokole. Je, kwa mwanamke alie kwenye mzunguko, ni sawa kuendesha ibada takatifu?
Ni kinyume hata kwa agano jipya kitabu cha 1Timotheo 2 inayohusu maagizo ya utaratibu wa ibada.
1 Timotheo 2:12 >> "Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya."
Naomba nikuulize kwenye kitabu cha Biblia hakuna nabii mwanamke??Hapo zamani KKKT hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa Walokole. Je, kwa mwanamke alie kwenye mzunguko, ni sawa kuendesha ibada takatifu?
Ni kinyume hata kwa agano jipya kitabu cha 1Timotheo 2 inayohusu maagizo ya utaratibu wa ibada.
1 Timotheo 2:12 >> "Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya."