Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Hii orodha ni kwa mujibu wa 5 year CAF ranking for 2022/23
Simba na Yanga zote hazimo ni wakati sasa timu hizi zijitahidi siyo kitimu kikiingia robo fainali ya mchongo basi kelele nyiiiingii
NB klabu ya tano ni Mamelodi inayotokea South Africa kwa akina ORLANDO PIRATES
Simba na Yanga zote hazimo ni wakati sasa timu hizi zijitahidi siyo kitimu kikiingia robo fainali ya mchongo basi kelele nyiiiingii
NB klabu ya tano ni Mamelodi inayotokea South Africa kwa akina ORLANDO PIRATES