Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Hawa zamalek tuliwatoa pale Cairo mwaka 2003. Labda ulikuwa hujazaliwa. Tena walikuwa mabingwa watetezi.
Usifananishe Simba na utopolo
Kama uliwatoa, na tena mara moja tu ndio uwashushe kiasi hicho! Zamalek acha kufananisha na Simba na yanga