Klabu Bingwa Africa: Zesco yaichapa Yanga kwa magoli 2 - 1 na kuingia hatua ya makundi; Yanga kucheza mtoano kwenye kombe la Shirikisho

Kwa nn yanga walirudi uwanjani baada ya half time

Kitengo cha ujasusi nchini zambia kinawatakia nini hawa vijana wetu wa tanzania !?
 
Aliyemsajili Ali Ali hana akili. Ndiye uchochoro wa timu. Mchezaji mwenye sifa ya kuchezea Stand United, analetwa kucheza timu kama Yanga?

Kocha nae ni komeo tu! Timu iko nyuma mpaka dk ya 80, hutaki kufanya mabadiliko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…