Falmesimba
Member
- Feb 10, 2021
- 40
- 14
Nivigumu kuangucha tembo🐘
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapita kimya kimya wanaaga maiti [emoji851]Mkuu ktk huu uzi Yanga wanaandika wanafuta wanaandika wanafuta tena[emoji851]
Safi sana Simba
Raha ya ushabiki ni vile kuona timu yako ikifanya kile ambacho wenzetu wanataman pia.
Nilikaa na Shabiki wa Yanga hakika alinipongeza akataka kunipga offa ya bia nikamwambia mkuu nna dozi.
Akasema mnyonge mnyongeni lakini Hakhi yake mpeni
Hakika nikawaona baadhi ya mashabiki kama hawamwelewi vile na roho zao zimejikunja kama dawa ya Mbu[emoji851]
Simba Nguvu1 [emoji881]
Inatakiwa tuonyeshe kua na sisi tumoTunahitaji mechi 2 tu kutinga robo. El Merrick tunapiga nje ndani. Vita hata wakija Dar watoe droo poa tu
Unarudi katoka Mbeya lini? Ninashida na mchele [emoji12]Wenye 5imba yenu Troisième Ceil , Penison ,Joanah , Shunie ,Lupweko muje muje mtuambie leo tutaokota ngapi kambani eti. Teh.
Nilikuepo mbona, nilizitoa kupitia post #1
AsanteOoh, shukrani.
Poleni kwa draw ya leo.