Klabu Bingwa Afrika: Simba SC wapewa Plateau United ya Nigeria

Klabu Bingwa Afrika: Simba SC wapewa Plateau United ya Nigeria

safari hii onyango hata kamata miguu atapiga kabali kabisa.

nyau atapigwa jumla ya goli 7
😂😂😂
Tulidhani Ni Sultan WAWA tu asiye na mbio...kumbe mpaka BABU WA KISUMU?!!!

Nimepata habari kuwa WINGA za hao wanaijeria zinakimbia zaidi ya TK master....
 
Nishaagiza.... tukutane taifaa
Rasmii sasa Plateau ni wananchii
IMG-20201109-WA0094.jpg
 
😂😂😂
Tulidhani Ni Sultan WAWA tu asiye na mbio...kumbe mpaka BABU WA KISUMU?!!!

Nimepata habari kuwa WINGA za hao wanaijeria zinakimbia zaidi ya TK master....
kwa beki zile nyau atapigwa mpaka achakae
 
Kile kilichowakuta mnyero kwa deportivo de libolo ndicho kitakachowakuta kwa plateu,mnyero watabakwa nje ndani
 
Mimi nipende kuwa kumbusha Viongozi Wangu wa simba pamoja na benchi letu la ufundi.

Tusiwadharau wapinzani wetu hata kidogo. Kama tulivyofanya mwaka Jana kwa UD Songo wakatulaza na Viatu.

Njia nzuri ni kujipanga kikamilifu. Ugenini na nyumbani.

Mwaka Jana tulipo pata Droo kule Msumbiji tulibweteka tukadhani hapa Nyumbani ni kukamilisha ratibatu kumbe Mpira ni DK 90 za Nyumbani na Ugenini. Hapo ndipo uanze kusherekea baada ya Matokeo yote mawili.

Niwito WANGU kwa Viongozi kuwajenga wachezaji kisaikolojia na kuwakumbusha wajibu wao wawapo uwanjani na malengo tuliojiwekea kama Club.

Kikosi Mimi sina shaka nacho ni kizuri kama kita jitambua na kujua thamani ya mashindano haya na faida watakayoipata kama wachezaji kutengeneza soko Africa na ulaya.
 
Mimi nipende kuwa kumbusha Viongozi Wangu wa simba pamoja na benchi letu la ufundi.

Tusiwadharau wapinzani wetu hata kidogo. Kama tulivyofanya mwaka Jana kwa UD Songo wakatulaza na Viatu.

Njia nzuri ni kujipanga kikamilifu. Ugenini na nyumbani.

Mwaka Jana tulipo pata Droo kule Msumbiji tulibweteka tukadhani hapa Nyumbani ni kukamilisha ratibatu kumbe Mpira ni DK 90 za Nyumbani na Ugenini. Hapo ndipo uanze kusherekea baada ya Matokeo yote mawili.

Niwito WANGU kwa Viongozi kuwajenga wachezaji kisaikolojia na kuwakumbusha wajibu wao wawapo uwanjani na malengo tuliojiwekea kama Club.

Kikosi Mimi sina shaka nacho ni kizuri kama kita jitambua na kujua thamani ya mashindano haya na faida watakayoipata kama wachezaji kutengeneza soko Africa na ulaya.
Kabisa..

Wapambane kotekote, sio kungoja TAIFA tu.
 
Mimi nipende kuwa kumbusha Viongozi Wangu wa simba pamoja na benchi letu la ufundi.

Tusiwadharau wapinzani wetu hata kidogo. Kama tulivyofanya mwaka Jana kwa UD Songo wakatulaza na Viatu.

Njia nzuri ni kujipanga kikamilifu. Ugenini na nyumbani.

Mwaka Jana tulipo pata Droo kule Msumbiji tulibweteka tukadhani hapa Nyumbani ni kukamilisha ratibatu kumbe Mpira ni DK 90 za Nyumbani na Ugenini. Hapo ndipo uanze kusherekea baada ya Matokeo yote mawili.

Niwito WANGU kwa Viongozi kuwajenga wachezaji kisaikolojia na kuwakumbusha wajibu wao wawapo uwanjani na malengo tuliojiwekea kama Club.

Kikosi Mimi sina shaka nacho ni kizuri kama kita jitambua na kujua thamani ya mashindano haya na faida watakayoipata kama wachezaji kutengeneza soko Africa na ulaya.
Upo sahihi sana, Simba waliidharau UD Songo kwamba wepesi huku wakiacha mbinu zao za nyuma zinazowapaga ushindi uwanja wa kwa Mkapa
 
Back
Top Bottom