yuko wapi huyo pimbi?Yupo umu mtoto mmoja msengemsenge.
Yupo Adeyum na Metacha π π π, *****Nimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
ManulaNimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
Jibu...kama hujui piga kimya...pumb.af kwani simba ni timu ya taifa?
Manula, Nyoni, Mzamiru, Kapombe, Dilunga, Hussein wote hao hujawaona unataka wawe wangapi wewe mtopolo?Nimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
Duhhh.... Mshukuruni sana Mo...Manula
Kapombe
Tshabalala
Dilunga
Mzamiru
Bora umeonaYanga tujipange sana aisee...
Naona jambo lenu limetimia......Al Ahly tuna jambo letu leo
Yenu ni hayo tu..kila siku mnakuja na jipya! Tulieni dawa iwaingine.Nimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
πππ....manula, nyoni, mzamiru, kapombe, dilunga ,hussein wote hao hujawaona unataka wawe wangapi wewe mtopolo?
Ushatajiwa au unataka wawe wangapi mtopolo?Jibu...kama hujui piga kimya...
πnikajua kidimbwini...ππππGhetoooo....ππ
Ndugu yangu sitaki kusema mengi ila nachoweza kukushauri kwa muda huu ni heri uzime data uwafate wenzako walipoNimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
Jipya ni wewe kukereka, na bado!πππ....
Tulieni.
Hamna jipya.
Wewe ni mkweli na umeuona mpira katika jicho la kiufundi zaidi ya ushabikiYanga tujipange sana aisee...
Yanga wangapi wazawa?Nimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??