Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ligi yao ilisimama kwa ajili ya corona 😂 😂 😂.Hakuna soka lolote hapo
Uchawi tu
Mrudishe bwana mwambusi nyie bwanaYanga tujipange sana aisee...
Leo mikia ndio watajua kuwa hawajui, yule punguwani wao huwa anawajaza ujinga wasafi fm.
chura mbona unateseka? nyie mnawachezaji wangapi wa nje bt mbona mnataabishwa na vitimu vya ligi kupata matokeo mpaka mnataka kususa ligi?Nimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
Nahisi kweny ligi ya Tz hakuna kama Luis miqquisonNi uonevu mtu mwenye kiwango cha Messi kucheza uku vichochoroni.
Bado hamjaenda ughaibuni lakini kwao ushenziniTumefukiza leo Simba azidi nguvuView attachment 1710019
Leo tutashuhudia total war inavyogeuzwa kuwa total failure,mbinu za kupulizia dawa chumba cha kuvalia jamaa wameingia na gas detector inanusa halia ya hewa,wamepulizia madawa chumba kizima kwa dk 15 ndipo wachezaji wameingia,ubalozi wa misri umeweka ulinzi wa hatari.Sasa ngoja goma lipigwe
Hapo south tu palimshinda utelembwe acheni ujingaNahisi kweny ligi ya Tz hakuna kama Luis miqquison
Tumshukuru vipi? Si atoe 20B au unasemaje Uto?
ewe shabiki wa UTO unayeishi kwa historia, kuna thread moja ulisema Simba haiwezi kumfunga Al ahyl nikakwambia baada ya dk 90 nitakutafuta.Wameshinda wameshinda tu
Dah uto wahed .. siyo referee na bodi ya ligi CAFCL imetubeba?Hakuna soka lolote hapo
Uchawi tu
Bado hamjaenda kwao mzeeKunywa sumu ntakuja kulipia...falah wewe ! Hahahaaha
Bado hamjaenda ughaibuni lakini kwao ushenzini
Tulieni msifurahi sana mtalia soon
Pole sanaNiwadokeze kidogo,weka 500,000 ubeti al ahly anashinda,,jioni ukunje milioni na ushee
🏃🏃🏃🏃Hii thd itakuja kukimbiwa baada ya dakika 90
wana viherehere sana mechi haiwahusu wanakimbilia kuanzisha threadYani waanzisha thread wamepooza,akuna hata apdates.