3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Mtafutie kamba umfunge maana anateseka sanandugu yangu sitaki kusema mengi ila nachoweza kukushauri kwa muda huu ni heri uzime data uwafate wenzako walipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafutie kamba umfunge maana anateseka sanandugu yangu sitaki kusema mengi ila nachoweza kukushauri kwa muda huu ni heri uzime data uwafate wenzako walipo
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji123]Kuwa shabiki wa simba raha sana
Utopolo wote wameenda kulala[emoji23]Nawaomba UTOPOLO hapa sasa hivi
Duhhh.... Mshukuruni sana Mo...
Hakuna nafuu, kwao shida, kwetu ndiyo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]sasa ni mwendo wa nje ndani
Sarpong na Fiston 😂 😂 😂Nimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
wakati huo nyau kapigwa ataweza nioa kweli
Haya bana pongezi kwenu nimeona ki1 kimeng'ang'aniathubutu!
sevilla mwenyewe alishindwa sembuse hawa maostaz
Ni uonevu mtu mwenye kiwango cha Messi kucheza uku vichochoroni.Huyu Luis Jose miqquison hastahili kucheza Simba sc.
Kidimbwi fc mna mkosi sana kila timu mnayoishabikia inatoa boko.Leo tutashuhudia total war inavyogeuzwa kuwa total failure,mbinu za kupulizia dawa chumba cha kuvalia jamaa wameingia na gas detector inanusa halia ya hewa,wamepulizia madawa chumba kizima kwa dk 15 ndipo wachezaji wameingia,ubalozi wa misri umeweka ulinzi wa hatari.Sasa ngoja goma lipigwe
Tumefukiza leo Simba azidi nguvuHakuna soka lolote hapo
Uchawi tu