Klabu Bingwa Afrika: Simba SC ya Tanzania yashinda 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa - Dar

Klabu Bingwa Afrika: Simba SC ya Tanzania yashinda 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa - Dar

Simba bado tunashindwa kumalizia nafasi tunazotengeneza mpaka najiuliza hivi ni nani aliyetuambia huyu mgalu ni top striker
Hakika kiongozi, kitu pekee kwake ni nguvu, hawezi kujiposition, striker hana awareness na offside za kawaida kabisa
 
Kitaalam inaitwaje hii?
IMG_6554.jpg
 
NI. NGUMU KUAMINI
HIiZ N SABABU 3 ZA. SIMBA KUFUNGWA LEO

1)KUJIAMINI KUPITILIZA
2( KIWANGO KIDOGO CHA UWEZO KULINGANISHA NA WAARABU

3)IMANI MBOVU ZA KICHAWI
HII N SABABU KUBWA LEO SIMBA KUFUNGWA
WANAINGIA UWANJAN WAKIAMINISHWA USHINDI KUPITIA NGUVU ZA GIZA BADALA YA KUTAFTA MBINU ZA KUMMLIZA. MWAARABU

4;.......SIJJUI NISEMEEEE...

WALE WA MZIGO
GG
GG N OV2.5
HT OV 0.5
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkeka hoi bin taabani!
 
Back
Top Bottom