Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika kiongozi, kitu pekee kwake ni nguvu, hawezi kujiposition, striker hana awareness na offside za kawaida kabisaSimba bado tunashindwa kumalizia nafasi tunazotengeneza mpaka najiuliza hivi ni nani aliyetuambia huyu mgalu ni top striker
kinachoangaliwa hapa ni kupata points 3 muhimu ref, 2018/19 tulivyofuzu robo fainali.Bado hamjaenda kwao mzee
Acheni kufurahi msiba bado hamsa ni pale pale
Mission Accomplished!Total War in Dar.
POINT OF NO RETURN!
swali la kipuuzi sana wakati huu. Im very sure Simba wangefungwa usingeuliza huu utopolo wako..Nimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
Hapa kimahesabu Simba kashapenya... wakiwa makini naona tayari Simba ana point 12 clear ikiwa atashinda mechi mbili za nyumbaniTuache utani Simba anasambaza mpira sana..
Tunaweza kupata pia matokeo misri tukiondoa hofu na kucheza mpira
Robo fainali here we come..
Yanga wanaona aibuKuna watu walijua uzi utakimbiwa baada ya dakika tisini....lakini ndo kwanza uzi unatamburuka..
Hawa jamaa leo wameonyesha uwezoIeo wamecheza
Kabisaa yaniUkiishabikia Simba unaongeza kinga za mwili......
umemsahau Onyango na kapombeMen of the match mpaka muda huu
Manula
Luis
Scars
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama walivyofanya kwenye mechi ya As vita baada ya simba kushinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NI. NGUMU KUAMINI
HIiZ N SABABU 3 ZA. SIMBA KUFUNGWA LEO
1)KUJIAMINI KUPITILIZA
2( KIWANGO KIDOGO CHA UWEZO KULINGANISHA NA WAARABU
3)IMANI MBOVU ZA KICHAWI
HII N SABABU KUBWA LEO SIMBA KUFUNGWA
WANAINGIA UWANJAN WAKIAMINISHWA USHINDI KUPITIA NGUVU ZA GIZA BADALA YA KUTAFTA MBINU ZA KUMMLIZA. MWAARABU
4;.......SIJJUI NISEMEEEE...
WALE WA MZIGO
GG
GG N OV2.5
HT OV 0.5