Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hawa utopolo wapuuzi sana Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkeka hoi bin taabani!
Mkuu Simba ya sasa, hata nje ushindi upoooooTuache utani Simba anasambaza mpira sana..
Tunaweza kupata pia matokeo misri tukiondoa hofu na kucheza mpira
Robo fainali here we come..
FafanuaMbona unaingiza wenzako mkenge
Haahahahah nilijua utopolo lazima waone wivuMmeotea
Utopolo mna gundu kila timu mnayoiletea shobo inafungwa na Simba SCTUNAOMBA MAPEMAA MACHELA ZAKUTOSHA REDCROSS
HIZO MLIZOLETA HAZITOSHI KABISA
NAWASHAURI MLE MSHIBE LEOO MJIANDAEE KUBEBA WENGI TU KWA. PRESSURE
WITO TUVAE BAKOA
Kwani Kigogo anasemaje na Utopolo wenzie?
Thubutuuuuu ,sasa kwa taarifa yako, kwa sasa moja ya Risk factor ya mtanzania kupata magonjwa ya Moyo, presha ,kisukari, Corona , na magonjwa yatokanyonayo na kushuka kwa kinga ya mwili ni pale mtu NAPOSHABIKIA YANGA.Mmeotea
HhahahahaahahhahWee angaliaa, Simba kwa sasa inashinda ugenn..inashinda nyumban
Haya ni mabadiliko makubwa yalofanywa na benchi la Ufundi
Utopoloooo bakini na uchawi
Simba damu damu..Lile goli leo nalipigia punyeto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hhahahahaahahhah
THIS IS SIMBA