Hakuna zaidi ya MISIFA TU.Habari Jf,
Leo Simba wamewafunga AL AHLY SC ya Misri ushindi wa bao moja, Nikiwa kama shabiki wa club X nauliza leo wachezaji mmewalisha nini maana sio kwa Simba tunayoijua sisi.
View attachment 1710042
VISIT TANZANIA πΉπΏ
Waarabu kitu gani kwani?Nyani bhana! Ndiyo kashindwa South lakini kawaweza Waarabu
Simba simbaKwa sasa simba ni timu inayoshinda, sio kwa bahati bali kwa mipango ,juhudi, na kua na kocha Bora.
Uchawi, tumewachia utopoloo
π π πNi mwendo wa kuwapelekea moto mpaka maji wayaite mmah
Itakuwa na matatizo ya macho kula sana mboga za majaniMim siyo mshabiki wa Simba wala yanga.
Lakin bado sijaona mtu kama Luis Jose miqquison
Puliza kipyengaMmeotea
π₯΄π₯΄π₯΄π₯΄Simba simba
Sasa msubiri kule kwaoNi kama kile alichopigwa dadayako jana
πππKuna mashabiki wa utopolo wataanza kujisifu kwa kucheza league moja na mabingwa wa kimataifa[emoji1787] wanajiona wenye bahati sana[emoji196]
πππWamejitahidi sana...
Hugo mmakonde sio kwamba ni mchezaji mzuriHawa waarabu Wa kawaida sana. Ila Miqusoine ni zaidi ya mchezaji.
Natabiri baada ya michuano hii, ataenda mbele zaidi
Habari Jf,
Leo Simba wamewafunga AL AHLY SC ya Misri ushindi wa bao moja, Nikiwa kama shabiki wa club X nauliza leo wachezaji mmewalisha nini maana sio kwa Simba tunayoijua sisi.
View attachment 1710042
VISIT TANZANIA πΉπΏ
πππinapendeza zaidi kuona mtoto kazaliwa,kakaa,katambaa na sasa anatembea, hayo ndo mafanikio ya ukuaji kwa soka la Simba.
sasa wale wengine wanadhani kuifunga Simba ndo kuchukua kombe la VPL badala wanatakiwa washinde kila mechi hapa ndo wanapofeli