Ahsante sana lakini kumbuka ili Simba iwe Simba inaihitaji Yanga na kinyume chake, hivyo lazima upinzani uwepo ili hizi timu zifanye vizuri. Nashukuru leo ulikuwa mpira mzuri haya paka sijawaona uwanjani.Karibu Simba mkuu
alisikika mwendawazimu mmoja akiongea maeneo ya vidimbwiniSimba ni kama ndanda tu
Anastahili kucheza hapo na kina mtibwa
Ndo maana pitso alimtema huko mamelodi that time
Nitafutieni Mikweson nimkabidhi mchepuko wangu aufinyange mpaka asubuhi kwa gharama zangu...Simba damu damu..Lile goli leo nalipigia punyeto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana Shamimodd Simba wamecheza mpira mzuri, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, lakini wakikutana na Yanga wanapoteana uwanjani.Wamebahatisha
Yanga tuu labdaHaki ya Mungu Simba itafika fainali.
Kama mbabe wa wababe Al Ahly kakubali kupapaswa na Simba,ni nani tena mwingine mbabe wa Africa kumshinda Al Ahly?
Nina ndoto, ipo siku mashabiki wote wa timu hizi pinzani watasaidiana, watapongezana ili kuhakikisha timu zao zinazifunga timu za kigeni kwa mechi za nyumbani na ugenini! Nasema ipo siku. Nimeishaumba tayari.Tulieni mikia uchawi huwa hauvuki bahari mtaenda tu kwao waarabu msije kula mkono tena?
Umeona na weweWamebahatisha
Ila kwa vijana wa jangwani mnapoteanaSisi ndio wababe wa wababe wengine
Duh Mtani hii kali ya siku.Ukiishabikia Simba unaongeza kinga za mwili......
Yanga hii inayokula hadi 5 kwa SimbaHapana Shamimodd Simba wamecheza mpira mzuri, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, lakini wakikutana na Yanga wanapoteana uwanjani.
Pole,Pumbvu , naomba hela yangu nilibeti kama ulivyosema nimeliwa , mshenzih wewe nipe hela yangu
Ila kwa vijana wa jangwani mnapoteanaSisi ndio wababe wa wababe wengine
π π π π π πKale ka wimbo ka shetani na mama mkwe wake wamekalia misumali
Kawafikie uto wote