Spectophotometer
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 295
- 468
Hasidi hana sababuKitaalam inaitwaje hii?View attachment 1710061
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasidi hana sababuKitaalam inaitwaje hii?View attachment 1710061
Hahahahahah baada ya kushindaKwa sasa simba ni timu inayoshinda, sio kwa bahati bali kwa mipango ,juhudi, na kua na kocha Bora.
Uchawi, tumewachia utopoloo
Mim siyo mshabiki wa Simba wala yanga.Hapo south tu palimshinda utelembwe acheni ujinga
Mbona unaingiza wenzako mkengePole sana
Watapata tabu sanaaaaaaaUtopolo wakiona hii, roho zinawauma balaa, wanapita kimya kimya huku wakisonya.
Acha choyo utakuja kuwa mchawi.Bado hamjaenda ughaibuni lakini kwao ushenzini
Tulieni msifurahi sana mtalia soon
pale shabalala alikosa umakini lile lilikuwa eneo lakeManula ni noma..ile ilikua goli kabisa, namba kumi au 12 angefunga pale yule mwarabu
Al Mereikh ni mchumba tu,Hapa kimahesabu Simba kashapenya... wakiwa makini naona tayari Simba ana point 12 clear ikiwa atashinda mechi mbili za nyumbani
Inaitwa kukataa tamaa!! Kama mtu ulitegemea mbabe wako kapata wa kumpa kipigo halafu anapigwa vibaya mbele ya macho yako, kinachobaki Ni kukataa tamaa na kusubiri kipigo Chalo!!Kitaalam inaitwaje hii?View attachment 1710061
Nimescreen shot nije nikutishie Simba hapa...Reply kwanza hiyo status... Maana mmepagawa.
NI. NGUMU KUAMINI
HIiZ N SABABU 3 ZA. SIMBA KUFUNGWA LEO
1)KUJIAMINI KUPITILIZA
2( KIWANGO KIDOGO CHA UWEZO KULINGANISHA NA WAARABU
3)IMANI MBOVU ZA KICHAWI
HII N SABABU KUBWA LEO SIMBA KUFUNGWA
WANAINGIA UWANJAN WAKIAMINISHWA USHINDI KUPITIA NGUVU ZA GIZA BADALA YA KUTAFTA MBINU ZA KUMMLIZA. MWAARABU
4;.......SIJJUI NISEMEEEE...
WALE WA MZIGO
GG
GG N OV2.5
HT OV 0.5
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitaalam inaitwaje hii?View attachment 1710061
Wee angaliaa, Simba kwa sasa inashinda ugenn..inashinda nyumbanHahahahahah baada ya kushinda
Kwani Simba unaiweka level gani hadi useme hastahili kuchezea simba? au mpaka tumfunge Bayern ndio mtatuheshimuHuyu Luis Jose miqquison hastahili kucheza Simba sc.
Nyoni,Manula,mzamiru,dilunga,kapombe,shabalala sita wapoNimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??