Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Based on true storySio tu tumeshinda na mpira tumeucheza! Mpira hauchezwi gizani mzee!
HahahahahhahhahahSimba damu damu..Lile goli leo nalipigia punyeto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Simba SC inabezwa hapa na wachambuzi wenye vinasaba vya UtopoloAl Ahly katika mechi zake tatu za mwisho
,kapoteza mbili dhidi ya Simba na Bayern Munich [emoji16][emoji16][emoji16]
Aisee Simba ni Moja ya Timu bora Africa kwa sasa
Huko uliko una hali gani ?Leo tutashuhudia total war inavyogeuzwa kuwa total failure,mbinu za kupulizia dawa chumba cha kuvalia jamaa wameingia na gas detector inanusa halia ya hewa,wamepulizia madawa chumba kizima kwa dk 15 ndipo wachezaji wameingia,ubalozi wa misri umeweka ulinzi wa hatari.Sasa ngoja goma lipigwe
Hapo tunasongaWana mahesabu ingieni mzigoni, al hahl mfunge vital nje ndani na sisi tumfunge elmereck, tunasonga au siyo?
Hahahah mkuuNi kawaida sima kula vimnyama vingine vya porini.... Hata tembo anaundiwa mipango analiwa kiulaini kama vile unanawa
Hakunaukitengeneza combined first 11 ya simba na yanga ni mchezaji gani wa uto atapenya kwenye kikosi cha kwanza jamani
Huo ni ufundi mkuuUchawi upo tena sana
Leo jamaa wamejitumapossession Simba kaongoza kwa 51% dhidi ya 49%.
hivyo simba kashinda na mpira kaucheza. Pongezi kwa menejiment ya Simba kwa msimu huu, hakika Simba sc inapiga hatua siku kwa siku... tutafika tu
inapendeza zaidi kuona mtoto kazaliwa,kakaa,katambaa na sasa anatembea, hayo ndo mafanikio ya ukuaji kwa soka la Simba.Leo jamaa wamejituma
Ni mwendo wa kuwapelekea moto mpaka maji wayaite mmahHahahah mkuu
This is Simba
😁😁😁 mkuu kwa upande wangu hali ni shwari ,ni vibe tu linaendelea sijui nikae au nisimame hata sielewi.Mashabiki tuzipe sapoti timu zetu.... Sio zikifungwa tunaona wachezaji wote hawana maana.... All in all hongera kwa Simba japo mambo bado ila kwa kuanzia sio mbaya Lily Tony hopefully kwako shangwe tu
Hili goli nimemtumia WhatsApp boss wangu hata sijamwambia kitu kingine, clip yake akaniambia next month Mshahara wangu utakua Doubled