Klabu Bingwa Afrika: Simba SC ya Tanzania yashinda 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa - Dar

Klabu Bingwa Afrika: Simba SC ya Tanzania yashinda 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa - Dar

We jamaaa makaoli kweli
Sasa hivi unataka kujua asilimia za wazawa???
Hamia immigration huko
Sisi hatuelewi kitu
Oyo oyo oyooo
Luis mmakonde😂😂😂

😂😂😂😂😂😂

Eti mmakonde.....
 
NI. NGUMU KUAMINI
HIiZ N SABABU 3 ZA. SIMBA KUFUNGWA LEO

1)KUJIAMINI KUPITILIZA
2( KIWANGO KIDOGO CHA UWEZO KULINGANISHA NA WAARABU

3)IMANI MBOVU ZA KICHAWI
HII N SABABU KUBWA LEO SIMBA KUFUNGWA
WANAINGIA UWANJAN WAKIAMINISHWA USHINDI KUPITIA NGUVU ZA GIZA BADALA YA KUTAFTA MBINU ZA KUMMLIZA. MWAARABU

4;.......SIJJUI NISEMEEEE...

WALE WA MZIGO
GG
GG N OV2.5
HT OV 0.5

Kwa huu uchambuzi wako wa kiutopolo ulioandika unaweza kutuletea pia takwimu za baada ya mchezo na matokeo kiujumla??

Yaani nyie mautopolo huko mlipo sasa hivi naona kuna kitu kimewakaba kooni mnataka kujinyonga...
 
Wazawa mtupu Ni kwenye timu ya Taifa tu, hivi wewe utopolo hulijui hilo!! Hivi kwa nini mtu akiwa kidimbwi na ufahamu unaathirika?


Pigeni kelele tu... Ila mjue MO mfanya biashara. Na Hamna faida yeyote kwa Taifa.
 
Kwani Simba unaiweka level gani hadi useme hastahili kuchezea simba? au mpaka tumfunge Bayern ndio mtatuheshimu
Simba ni clab ya kawaida kama clab zingine tu ila Luis Jose miqquison kiwango chake na uwezo wake si wakuchezea clab ya Simba
 
Back
Top Bottom