Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni sungura!Mimi siyo Simba, ila nimewapongeza tu.
We jamaaa makaoli kweli
Sasa hivi unataka kujua asilimia za wazawa???
Hamia immigration huko
Sisi hatuelewi kitu
Oyo oyo oyooo
Luis mmakonde😂😂😂
NI. NGUMU KUAMINI
HIiZ N SABABU 3 ZA. SIMBA KUFUNGWA LEO
1)KUJIAMINI KUPITILIZA
2( KIWANGO KIDOGO CHA UWEZO KULINGANISHA NA WAARABU
3)IMANI MBOVU ZA KICHAWI
HII N SABABU KUBWA LEO SIMBA KUFUNGWA
WANAINGIA UWANJAN WAKIAMINISHWA USHINDI KUPITIA NGUVU ZA GIZA BADALA YA KUTAFTA MBINU ZA KUMMLIZA. MWAARABU
4;.......SIJJUI NISEMEEEE...
WALE WA MZIGO
GG
GG N OV2.5
HT OV 0.5
This is SIMBAAAAAAAAA AGHHHHHHHHHRRRRRR
Aisee umeshafika kileleni!Mashabiki wa Simba tupo juuJuuu kileleni
Yule mfukuza upepo kisinda ajifunze kwa konde boyHugo mmakonde sio kwamba ni mchezaji mzuri
Ila kamekamia tu ili kumuonesha pitso kuwa alikosea kukatema
Kumbe alipatia kukatema kachezaji kanakobabatiza
Wazawa mtupu Ni kwenye timu ya Taifa tu, hivi wewe utopolo hulijui hilo!! Hivi kwa nini mtu akiwa kidimbwi na ufahamu unaathirika?
😂 😂Ww ni sungura!
🤣🤣Aisee umeshafika kileleni!
Utopolo katika ubora wake!!Nyie simba hamna lolote lakujisifia. Nyie mmempiga al ahly kwa Nkapa 1 bila na sisi tumempiga Mtibwa sugar kwa Nkapa 1 bila. Sasa hapo si ngoma durooo
Hupati covid 19...kwa maelezo ya dr mollel naibu waziri wa afya.Ukiishabikia Simba unaongeza kinga za mwili......
Simba ni clab ya kawaida kama clab zingine tu ila Luis Jose miqquison kiwango chake na uwezo wake si wakuchezea clab ya SimbaKwani Simba unaiweka level gani hadi useme hastahili kuchezea simba? au mpaka tumfunge Bayern ndio mtatuheshimu
Sijaanza kumfuatilia leo, mechi nyingi namuona alivyo na confidence akiwa na mpiraItakuwa na matatizo ya macho kula sana mboga za majani
Aisee!Hupati covid 19...kwa maelezo ya dr mollel naibu waziri wa afya.
Sasa wale jamaa zetu muda wowote covid inawahusu.
Hongera mabingwa wa kuhamisha goli!! Kabla ya mechi mliwatukuza baada ya mechi mnahamisha goli!! Mtahamisha goli Hadi pakosekane pa kuliweka!Wewe ni utelembwe usituchore hapa
Jamaa wamewapangia kikosi cha kizembe subiri kwao
Ewaaaa leo umetumia akili zako sasaYanga tujipange sana aisee...