Klabu bingwa Afrika: Simba ugenini kuchuana na Al Merrekh

Sina ushabiki na simba ila nasimamia ndoto yangu. Mje mtumie kama reference plz😄
El merreikh 0
Simba 1
 
Huyu Renzo Barbera ndiye aliyeweka uzi ule akidai eti Rally Bwalya ni galasa. Leo anataka kukojoa mfululizo kutoka Ununio, wakati nyuzi zake zinamprove wrong kila wakati

 
Kila la kheri Simba wakilisha bendera ya Tanzania wajue kwamba huku tz kuna timu nyingi ngangari na zenye uwezo ili mwakani tuingize timu nne!!

Wakilisheni vizuri nchi yetu ya Tanzania!!
Mimi ni mzalendo mzuri wa nchi yangu lakini siyo shabiki wa Simba wala wa Yanga, ila timu ikitoka nje kwenda kwenye michuano mbalimbali ya kimataifa ninakuwa pamoja nao, hongereni na endeleeni kupeperusha bendera ya tz hasa hasa kipindi hiki kigumu cha gonjwa hili la hatari la CORONA!!

MUNGU awe pamoja nanyi katika dakika 90 !!
Nawakilisha!!
 
Watopolo wote wangekuwa na akili kama wewe Yanga ingekuwa timu bora kabisa
 
Mkundu wako ! Soma matokeo
 
Yanga toka lini anaiobea Simba ushindi.Mkomayena litimu lemu na kocha wenu
 
Renzo si riziki!! Hawezi kusogea hapa! Hata utopolo wenzake hawawezi kumuunga mkono nyuzi zake!!
 
hingera nyingi kwa simba kwa kukomaa.
hakika mmmejitahidi sana.
 
Naona umepakatwa na waarabu koko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…