Klabu ipi imelamba dume kati ya Simba SC na Yanga SC kwa mikataba hii?

Klabu ipi imelamba dume kati ya Simba SC na Yanga SC kwa mikataba hii?

Sanyambila

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2018
Posts
378
Reaction score
510
Hivi karibuni timu zetu kubwa hapa nchini zimeingia mikataba mipya na wadhamini wao
Simba sc na MBET
Yanga sc na SPORTPESA

Hapa katikati kuliibuka fununu za simba kuachana na Sportpesa okabaki yanga na yanga alipo saini mkataba mpya watu walisema ni mkataba mnono saana wa billion 12 kwa miaka 3

Sasa leo simba imeweka wazi kwamba mkataba wao na MBET Ni wa billion 26.1 kwa miaka 5 sasa kwa Wale watalamu wa mikataba upi mzuri na klabu gani itafaidika kwa aina ya mkataba walio ingia.

Screenshot_20220801-140129_Twitter.jpg
Screenshot_20220801-140447_Chrome.jpg
 
WELL KILA TIMU IMELAMBA DUME KIMPANGO WAKE KUTOKANA NA MASHARTI YA MKATABA WALIYOWEKEANA
 
Hivi karibuni timu zetu kubwa hapa nchini zimeingia mikataba mipya na wadhamini wao
Simba sc na MBET
Yanga sc na SPORTPESA
hapa katikati kuliibuka fununu za simba kuachana na Sportpesa okabaki yanga na yanga alipo saini mkataba mpya watu walisema ni mkataba mnono saana wa billion 12 kwa miaka 3

Sasa leo simba imeweka wazi kwamba mkataba wao na MBET Ni wa billion 26.1 kwa miaka 5 sasa kwa Wale watalamu wa mikataba upi mzuri na klabu gani itafaidika kwa aina ya mkataba walio ingia
Dah hapo sasa engineer ana sikitika mnoooo
 
WELL KILA TIMU IMELAMBA DUME KIMPANGO WAKE KUTOKANA NA MASHARTI YA MKATABA WALIYOWEKEANA
Mmekuwa wapole Sana Leo km mmemwagiwa maji[emoji28]

Juzi mlitamba Sana na kututukana wanasimba..usimcheke asiyejenga kisa umejenga nyumba Kali,msubiri Kwanza ajenge ndy umcheke.Ndy kinachowakuta Leo uto
 
Miaka mitatu ya kwanza Simba itapata takribani 15B wakati kwa miaka hiyo Yanga itapata 12B. Baada ya hapo hakuna uhakika kama Yanga itapata mdhamini mwingine, maana business environment zinabadilika siku hata siku.
 
Hii imetokea Tanzania pekee yake. Thamani ya Timu kwa kulingana na mmiliki wa milele wa timu ni Tshs 20 Bilioni na Mdhamini anatoa Tsh 25.1 kwa miaka mitano. Sidhani hii kama ni kweli.
Kabla ya hapo simba ilikjwa na thamani hiyo ya kupewa bilioni 5 kwa mwaka!? Si walikuwa simba na yanga wanapokea milioni mia 9 kwa mwaka.

Tukiacha unazi, BAKHRESA(kupitia AZAM TV) na MO(kwa SIMBA), wanahitaji pongezi kubwa saana, yanga walichokipata kuna nguvu kuwa ya mafanikio ya simba, ukitizama kwa miaka ya karibuni hakuna yanga amefanya mtu awekeze kiasi kikubwa vile.
Na nina imani sport Pesa alitaka kuwapa wote kwa pamoja kiasi kile kile, simbA akagoma.

Thamani ya mpira bongo imepanda kupitia azamtv na simba,
Umaarufu wa ligi ya bongo umepanda sababu ya simba
 
Hii imetokea Tanzania pekee yake. Thamani ya Timu kwa kulingana na mmiliki wa milele wa timu ni Tshs 20 Bilioni na Mdhamini anatoa Tsh 25.1 kwa miaka mitano. Sidhani hii kama ni kweli.
Na bado zile B 20 zilihama toka mfuko wa kushoto kuwekwa mfuko wa kulia wa Mtu, bila ushahidi thabiti wowote, ama kweli Bongo kuna Mawatu hayajielewi [emoji23]
 
Bil. 12/3 = bil 4 Kwa mwaka
Bil 26/5 = bil 5.2 Kwa mwaka
Labda tusome vizuri vigezo na masharti .kabla ya kuongeza manenoo
Rudia kuangalia vipengele vya mkataba kwa miaka mitatu ya kwanza halafu ndio ufananishe kwa kila timu.
 
Kabla ya hapo simba ilikjwa na thamani hiyo ya kupewa bilioni 5 kwa mwaka!? Si walikuwa simba na yanga wanapokea milioni mia 9 kwa mwaka.

Tukiacha unazi, BAKHRESA(kupitia AZAM TV) na MO(kwa SIMBA), wanahitaji pongezi kubwa saana, yanga walichokipata kuna nguvu kuwa ya mafanikio ya simba, ukitizama kwa miaka ya karibuni hakuna yanga amefanya mtu awekeze kiasi kikubwa vile.
Na nina imani sport Pesa alitaka kuwapa wote kwa pamoja kiasi kile kile, simbA akagoma.

Thamani ya mpira bongo imepanda kupitia azamtv na simba,
Umaarufu wa ligi ya bongo umepanda sababu ya simba
Uneongea ukweli saana mkuu. Na hata hawa azam tv walianza kuwekeza baada ya dewj kuweka mambo sawia pale simba. Dewj ndio aliye fanya hii ligi ipande bei kwa kuwekaza simba na hatua zikaonekana na watu tukaanza kupenda soka la nyumbani. Kitambo ilikua siwezi kuangalia mechi za ndani zaidi ya ile ya simba na yanga wakikutana. Zingine ilikua siangalii kabsa. Ila kwa sasa unakuta naangalia simba vs biashara, namungo, geita nk
 
Yanga wamelamba mkataba mnono maana watacheza mechi 2 tu za CAFCL.
Pia ni mkataba mnono kwao kwa vile wanasajili wachezaji wasio na timu au mkataba na timu.
Wenyewe hawapendi.🤣🤣
 
Hii imetokea Tanzania pekee yake. Thamani ya Timu kwa kulingana na mmiliki wa milele wa timu ni Tshs 20 Bilioni na Mdhamini anatoa Tsh 25.1 kwa miaka mitano. Sidhani hii kama ni kweli.
Nenda kachambe kwanza unanuka kinyesi
 
Back
Top Bottom