Klabu ipi imelamba dume kati ya Simba SC na Yanga SC kwa mikataba hii?

Klabu ipi imelamba dume kati ya Simba SC na Yanga SC kwa mikataba hii?

Hii imetokea Tanzania pekee yake. Thamani ya Timu kwa kulingana na mmiliki wa milele wa timu ni Tshs 20 Bilioni na Mdhamini anatoa Tsh 25.1 kwa miaka mitano. Sidhani hii kama ni kweli.
Sio kika kitu kianze ulaya
 
Uto wameumizwa na huu mkataba,waumie sana tena ili wazidi kujinyea.
 
Hivi karibuni timu zetu kubwa hapa nchini zimeingia mikataba mipya na wadhamini wao
Simba sc na MBET
Yanga sc na SPORTPESA

Hapa katikati kuliibuka fununu za simba kuachana na Sportpesa okabaki yanga na yanga alipo saini mkataba mpya watu walisema ni mkataba mnono saana wa billion 12 kwa miaka 3

Sasa leo simba imeweka wazi kwamba mkataba wao na MBET Ni wa billion 26.1 kwa miaka 5 sasa kwa Wale watalamu wa mikataba upi mzuri na klabu gani itafaidika kwa aina ya mkataba walio ingia.

View attachment 2310983View attachment 2310984
Wote ni Waongo watupu Usiwaamini.
 
Miaka mitatu ya kwanza Simba itapata takribani 15B wakati kwa miaka hiyo Yanga itapata 12B. Baada ya hapo hakuna uhakika kama Yanga itapata mdhamini mwingine, maana business environment zinabadilika siku hata siku.
Vile vile inawezekana ikapata mdhamini mwingine ambae akatoa kiasi kikubwa zaidi,
 
Back
Top Bottom