OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kitabu gani kwenye biblia kinasema mpira ni haramu?Huu ni ujinga wa SGR. Kwanza Ukristo na mpira wapi na wapi. Ukristo mpira ni haramu.
Heri hawa wanamtegemea Mungu kuliko Simba na yanga zinategemea uchawiView attachment 2377563
Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umeingia mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh 50 Milioni na Kanisa la Kingdom Embassy (HPCC) la jijini Dar es Salaam ambao ni maalumu kwa ajili ya kupatiwa maji ya kunywa, fedha na maombi timu inapocheza popote kuhakikisha kwamba wanafanya vizuri zaidi.
Nabii Clear Malisa kutoka Kanisa hilo alisema; “Tutakuwa pia tukijitahidi kuiombea timu yetu kwani maombi ni muhimu ili iweze kufanya vizuri kwenye Ligi.”
Uongo ni dhambi...kwenye mpira uongo mwingi, Mara unamdanganya beki kama unaenda kulia halafu wewe unaenda kushotoKitabu gani kwenye biblia kinasema mpira ni haramu?
Hizo ni mbinu.Uongo ni dhambi...kwenye mpira uongo mwingi, Mara unamdanganya beki kama unaenda kulia halafu wewe unaenda kushoto
Kutoka 20:12 "Usidanganye"Hizo ni mbinu.
Nimeomba andiko la uharamu wa mpira kwenye biblia.
Acha porojo za kitoto hizo.
Kwa hiyo ww unavyomdanganya mumeo/mkeo na ww ni haramu?Kutoka 20:12 "Usidanganye"
YepKwa hiyo ww unavyomdanganya mumeo/mkeo na ww ni haramu?
[emoji23][emoji28]watu mmepinda mmamae zenu.dah!Kutoka 20:12 "Usidanganye"
Huu ni udini wa waziwazi na inafaa upigwe vita. Michezo na dini wapi na wapi?View attachment 2377563
Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umeingia mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh 50 Milioni na Kanisa la Kingdom Embassy (HPCC) la jijini Dar es Salaam ambao ni maalumu kwa ajili ya kupatiwa maji ya kunywa, fedha na maombi timu inapocheza popote kuhakikisha kwamba wanafanya vizuri zaidi.
Nabii Clear Malisa kutoka Kanisa hilo alisema; “Tutakuwa pia tukijitahidi kuiombea timu yetu kwani maombi ni muhimu ili iweze kufanya vizuri kwenye Ligi.”
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mamâęUongo ni dhambi...kwenye mpira uongo mwingi, Mara unamdanganya beki kama unaenda kulia halafu wewe unaenda kushoto
Wanavunja kanuni ipiHuu ni udini wa waziwazi na inafaa upigwe vita. Michezo na dini wapi na wapi?
Wanavunja kanuni ipiHuu ni udini wa waziwazi na inafaa upigwe vita. Michezo na dini wapi na wapi?