Klabu ya Polisi waingia mkataba wa milioni 50 na kanisa kuiombea timu

Klabu ya Polisi waingia mkataba wa milioni 50 na kanisa kuiombea timu

Nadhani mtoa mada alivyoandika ameleta sintofahamu
 
Nazani wao wanataka ufadhili kwahiyo kama unaona ni udini ungeingia hata wewe ukatoa dau lako ili waachane na hilo kanisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia akili. Polisi ni taasisi ya umma inaingiaje mkataba na kanisa ambao ndani yake una kipengele cha mambo ya ibada? Au kwenye ile timu hakuna wachezaji wa imani nyingine? Vipi wachezaji hao wahusishwe kwenye ibada ya kanisa? Ukiuangalia huu mkataba kwa kigezo cha kiuchumi hutaelewa chochote. Toka nje ya boksi utaelewa.
 
Tumia akili. Polisi ni taasisi ya umma inaingiaje mkataba na kanisa ambao ndani yake una kipengele cha mambo ya ibada? Au kwenye ile timu hakuna wachezaji wa imani nyingine? Vipi wachezaji hao wahusishwe kwenye ibada ya kanisa? Ukiuangalia huu mkataba kwa kigezo cha kiuchumi hutaelewa chochote. Toka nje ya boksi utaelewa.
Wewe hiko kipengele kwenye mkataba unahakika kipo ??

Tatizo lipo Kwa mtoa mada alivyoandika ni tofauti na habari yenyewe
1332037523.jpg
 
Tumia akili. Polisi ni taasisi ya umma inaingiaje mkataba na kanisa ambao ndani yake una kipengele cha mambo ya ibada? Au kwenye ile timu hakuna wachezaji wa imani nyingine? Vipi wachezaji hao wahusishwe kwenye ibada ya kanisa? Ukiuangalia huu mkataba kwa kigezo cha kiuchumi hutaelewa chochote. Toka nje ya boksi utaelewa.
Sasa wewe unayetumia akili umewapa polisi shiling ngapi? Kwahiyo unaona bora wakae na kucheza bila maji ndiyo usawa dini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 2377563
Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umeingia mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh 50 Milioni na Kanisa la Kingdom Embassy (HPCC) la jijini Dar es Salaam ambao ni maalumu kwa ajili ya kupatiwa maji ya kunywa, fedha na maombi timu inapocheza popote kuhakikisha kwamba wanafanya vizuri zaidi.

Nabii Clear Malisa kutoka Kanisa hilo alisema; “Tutakuwa pia tukijitahidi kuiombea timu yetu kwani maombi ni muhimu ili iweze kufanya vizuri kwenye Ligi.”
Malisa ndio huyu huyu wa gb malisa au

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom