HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
Haramu kwenu nyie shubakenge mitiHuu ni ujinga wa SGR. Kwanza Ukristo na mpira wapi na wapi. Ukristo mpira ni haramu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haramu kwenu nyie shubakenge mitiHuu ni ujinga wa SGR. Kwanza Ukristo na mpira wapi na wapi. Ukristo mpira ni haramu.
Ebu kwanza, nani anaechukua kibunda. Kanisa au Polisi?Hata mimi ningekua jeshi la police ningechukua kibunda hicho. 50M, maji plus maombi.
Nazani wao wanataka ufadhili kwahiyo kama unaona ni udini ungeingia hata wewe ukatoa dau lako ili waachane na hilo kanisa.Huu ni udini wa waziwazi na inafaa upigwe vita. Michezo na dini wapi na wapi?
PolisiEbu kwanza, nani anaechukua kibunda. Kanisa au Polisi?
Hapo fresh. Maisha yaendele.Polisi
PoliceEbu kwanza, nani anaechukua kibunda. Kanisa au Polisi?
Tumia akili. Polisi ni taasisi ya umma inaingiaje mkataba na kanisa ambao ndani yake una kipengele cha mambo ya ibada? Au kwenye ile timu hakuna wachezaji wa imani nyingine? Vipi wachezaji hao wahusishwe kwenye ibada ya kanisa? Ukiuangalia huu mkataba kwa kigezo cha kiuchumi hutaelewa chochote. Toka nje ya boksi utaelewa.Nazani wao wanataka ufadhili kwahiyo kama unaona ni udini ungeingia hata wewe ukatoa dau lako ili waachane na hilo kanisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu tupe andiko nipo na Bible hapa hapa, shule zenyewe za seminary zinaviwanja unazani huwa ni vyanini! Acha kuusemea uongo Ukristo!Huu ni ujinga wa SGR. Kwanza Ukristo na mpira wapi na wapi. Ukristo mpira ni haramu.
Wewe hiko kipengele kwenye mkataba unahakika kipo ??Tumia akili. Polisi ni taasisi ya umma inaingiaje mkataba na kanisa ambao ndani yake una kipengele cha mambo ya ibada? Au kwenye ile timu hakuna wachezaji wa imani nyingine? Vipi wachezaji hao wahusishwe kwenye ibada ya kanisa? Ukiuangalia huu mkataba kwa kigezo cha kiuchumi hutaelewa chochote. Toka nje ya boksi utaelewa.
Sasa wewe unayetumia akili umewapa polisi shiling ngapi? Kwahiyo unaona bora wakae na kucheza bila maji ndiyo usawa dini?Tumia akili. Polisi ni taasisi ya umma inaingiaje mkataba na kanisa ambao ndani yake una kipengele cha mambo ya ibada? Au kwenye ile timu hakuna wachezaji wa imani nyingine? Vipi wachezaji hao wahusishwe kwenye ibada ya kanisa? Ukiuangalia huu mkataba kwa kigezo cha kiuchumi hutaelewa chochote. Toka nje ya boksi utaelewa.
Sayansi ipi? Zipo sayansi nyingiMpira ni Sayansi.
Kaniambia nitumie akili, embu muulize alishawapa maji hata chupa moja?Wewe hiko kipengele kwenye mkataba unahakika kipo ??
Tatizo lipo Kwa mtoa mada alivyoandika ni tofauti na habari yenyewe View attachment 2377716
Malisa ndio huyu huyu wa gb malisa auView attachment 2377563
Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umeingia mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh 50 Milioni na Kanisa la Kingdom Embassy (HPCC) la jijini Dar es Salaam ambao ni maalumu kwa ajili ya kupatiwa maji ya kunywa, fedha na maombi timu inapocheza popote kuhakikisha kwamba wanafanya vizuri zaidi.
Nabii Clear Malisa kutoka Kanisa hilo alisema; “Tutakuwa pia tukijitahidi kuiombea timu yetu kwani maombi ni muhimu ili iweze kufanya vizuri kwenye Ligi.”
Yanga itoe hapo...Heri hawa wanamtegemea Mungu kuliko Simba na yanga zinategemea uchawi
Polisi wanaweza kutoa 50mil kwa ajili ya maombi 😆 mchungaji tu kajiongeza kwa staili yakeKwenye huo mkataba anayelipwa ni timu au Kanisa?