Polisi ndio anayelipwa...nahisi kuna sehemu watakuwa wanawatangaza kama sio bango uwanjani polisi awapo uwanja wake wa nyumbani basi itakuwa kwenye sehemu ya jezi zao wanazotumia uwanjaniKwenye huo mkataba anayelipwa ni timu au Kanisa?
Kwanza polisi wanapiga sana kiatu. Kiatu ni dhambiUongo ni dhambi...kwenye mpira uongo mwingi, Mara unamdanganya beki kama unaenda kulia halafu wewe unaenda kushoto
Amen amen...Natumai wakianza Kusali kabla ya mechi wataacha kupiga viatu.Kwanza polisi wanapiga sana kiatu. Kiatu ni dhambi
Mpira wetu kivyetu vyetuView attachment 2377563
Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umeingia mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh 50 Milioni na Kanisa la Kingdom Embassy (HPCC) la jijini Dar es Salaam ambao ni maalumu kwa ajili ya kupatiwa maji ya kunywa, fedha na maombi timu inapocheza popote kuhakikisha kwamba wanafanya vizuri zaidi.
Nabii Clear Malisa kutoka Kanisa hilo alisema; “Tutakuwa pia tukijitahidi kuiombea timu yetu kwani maombi ni muhimu ili iweze kufanya vizuri kwenye Ligi.”
Haa Mwisho KabisaBiashara ya kanisa imekuwa ngumu mpaka wanaamua kujitangaza kupitia mpira,tupo mwishoni mwa dunia
Mbona kwenye biblia wanasema mazoezi ya mwili yana faida kiafya.Uongo ni dhambi...kwenye mpira uongo mwingi, Mara unamdanganya beki kama unaenda kulia halafu wewe unaenda kushoto
Kwan mazoezi ni mpira tu?Mbona kwenye biblia wanasema mazoezi ya mwili yana faida kiafya.
1 Tim. 4:8
Kwa hiyo kucheza mpira hauwezi ikawa dhambi
Kuchepuka kamwe hayawezi kuwa mazoezi mkuuKwan mazoezi ni mpira tu?
Hapo mazoezi ni kama kukimbia, kuruka kamba nk.
Kama ishu ni hiyo Timotheo basi hata wachepukaji wanaweza kusema huwa wanafanya mazoezi kifuani.
Umeeleza vizuri. Ni kama Simba na Emirates AluminiumPolisi ndio anayelipwa...nahisi kuna sehemu watakuwa wanawatangaza kama sio bango uwanjani polisi awapo uwanja wake wa nyumbani basi itakuwa kwenye sehemu ya jezi zao wanazotumia uwanjani
Acha akili mgando[emoji23] [emoji1787]
Unapata picha tuna askari wa namna gani, tuna, akili zao zipoje
Soma uelewe kenge jikeKwenye huo mkataba anayelipwa ni timu au Kanisa?
Hilo Kanisa limetumia tu fursa kama taasisi. Hivyo hakuna udini hapo. Mikataba kama hii ilitakiwa ifanywe na makampuni, na taasisi mbalimbali za serikali kwa lengo la kujitangaza!Huu ni udini wa waziwazi na inafaa upigwe vita. Michezo na dini wapi na wapi?
Poti imekuuma?
Hahaha[emoji23]View attachment 2377563
Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umeingia mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh 50 Milioni na Kanisa la Kingdom Embassy (HPCC) la jijini Dar es Salaam ambao ni maalumu kwa ajili ya kupatiwa maji ya kunywa, fedha na maombi timu inapocheza popote kuhakikisha kwamba wanafanya vizuri zaidi.
Nabii Clear Malisa kutoka Kanisa hilo alisema; “Tutakuwa pia tukijitahidi kuiombea timu yetu kwani maombi ni muhimu ili iweze kufanya vizuri kwenye Ligi.”
Ila kwenda kulala makabulini ndio unaona sawa[emoji23] [emoji1787]
Unapata picha tuna askari wa namna gani, tuna, akili zao zipoje
Kindly share the Bible verse to prove thisHuu ni ujinga wa SGR. Kwanza Ukristo na mpira wapi na wapi. Ukristo mpira ni haramu.
Wazee wa intelijensia, never change daima hawa jamaa.😂 🤣
Unapata picha tuna askari wa namna gani, tuna, akili zao zipoje