Klabu ya Polisi waingia mkataba wa milioni 50 na kanisa kuiombea timu

🀣🀣

 
πŸ˜‚ 🀣

Unapata picha tuna askari wa namna gani, tuna, akili zao zipoje
 
πŸ˜‚ 🀣

Unapata picha tuna askari wa namna gani, tuna, akili zao zipoje
Yaani hadi nimeshindwa kuelewa, sasa hiyo 50M nani anamlipa mwenzie? Polisi walilipa kanisa kwa kupatiwa huduma ya maombezi ai? Vipi kwa wachezaji wapagani na wasioamini kanisani?
 
Yani kama tunaigiza vileee!!!
Dah, nchi ngumu hii kama chuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…