Kwahiyo wenye akili ni wale wanakesha wakiwangia uwanja na wanaolala makaburini?[emoji23] [emoji1787]
Unapata picha tuna askari wa namna gani, tuna, akili zao zipoje
Kanisa ndio inailipa timuSasa hapo nani atamlipa mwenzake hiyo million 50?
Ujinga wa Andrew haufuti upumbavu wa hussein, kama hussein anafanya upumbavu atakuwa mpumbavu tu.Kwahiyo wenye akili ni wale wanakesha wakiwangia uwanja na wanaolala makaburini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mahala nimesema hivyo?Ila kwenda kulala makabulini ndio unaona sawa
Kuna Mungu gani anauza maombi Kwa milioni 50? Mbona mnamtania Mungu kiasi hicho?Heri hawa wanamtegemea Mungu kuliko Simba na yanga zinategemea uchawi
π€£π€£View attachment 2377563
Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umeingia mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh 50 Milioni na Kanisa la Kingdom Embassy (HPCC) la jijini Dar es Salaam ambao ni maalumu kwa ajili ya kupatiwa maji ya kunywa, fedha na maombi timu inapocheza popote kuhakikisha kwamba wanafanya vizuri zaidi.
Nabii Clear Malisa kutoka Kanisa hilo alisema; βTutakuwa pia tukijitahidi kuiombea timu yetu kwani maombi ni muhimu ili iweze kufanya vizuri kwenye Ligi.β
Sasa hapo nani atamlipa mwenzake hiyo million 50?
π π€£
Unapata picha tuna askari wa namna gani, tuna, akili zao zipoje
Kanisa haliuli maombiKuna Mungu gani anauza maombi Kwa milioni 50? Mbona mnamtania Mungu kiasi hicho?
Yaani hadi nimeshindwa kuelewa, sasa hiyo 50M nani anamlipa mwenzie? Polisi walilipa kanisa kwa kupatiwa huduma ya maombezi ai? Vipi kwa wachezaji wapagani na wasioamini kanisani?π π€£
Unapata picha tuna askari wa namna gani, tuna, akili zao zipoje
Tumewaza pamojaAngewaombea waache rushwa na janja janja za kubambika watu kesi
Kwanza mpira umetafusiliwa kama upatu au kamari:havifungamani na imaniHuu ni ujinga wa SGR. Kwanza Ukristo na mpira wapi na wapi. Ukristo mpira ni haramu.