Safari ipi? Maana toka mseme sfr yetu imeisha chakushangaza ndo tumefuzu huku tuna mchezo mmoja...wataathirika ktk mchezo wa robo fainal. Niseme neno la mwisho kuwa simba safari yake imeishia robo fainal over.
Kaka uto hayo mambo huyawezi huwezi kwanza kuelewa...na bado tutachukua tuzo nyingine nyie pambaneni huko clabu bingwa biaMashabiki Bora wa kuvunja viti na kuchoma viwanja vya watu
My dear uto...nasikia ni moja tuu ya kesho kutwaMechi mbaya ni ile ya robo fainali maana wageni watakuwa kama wapo nyumbani tu
Haya mtani...tutaonaRobo fainali mechi muhimu.
Au mtani unapenda jina la mwakarobo?
Soma vizuri ni mechi Moja, ya pili tumepewa msamaha Kwa sababu hii ndio mara ya kwanza kutenda kosa.Klabu ya Simba itacheza mechi zake mbili za CAF bila ya mashabiki kufuatia vurugu zilizofanywa na mashabiki wake katika mchezo dhidi ya Cx Sfaxien. Aidha club ya 5imba imetozwa faini ya 40,000 USD ambayo inatakiwa kulipwa kabla ya tarehe 20 mwezi huu.
Hapa watakataa watasema wale ni wachezaji wa yanga ndo walichoma uwanja kwa madibaKwaiyo ripoti ya polisi ilisema mchome ndio kavunja viti? Mashabiki wenu awajielewi kwani ni mara ya kwanza kuvunja viti? Tulieni dawa iwaingie na iyo ni rekodi nyingine ya ovyo mmeiweka baada ya Ile ya kuchoma moto uwanja kule afrika kusini Tena kwenye michuano iyo iyo ya wakina mama sijui uwa mna matatizo Gani nyie watu!
Dah Mwamba unaweza bishana na radio🙌Bila mashabiki hamuwezi kufuzu nusu fainall 😀
kwisha habari yenuSafari ipi? Maana toka mseme sfr yetu imeisha chakushangaza ndo tumefuzu huku tuna mchezo mmoja...
Kama mashabiki wanacheza basi sawa...
Moja wamesamehewaOngezea wamefungiwa mechi 2 za caf iyo ya jumapili na Moja ya robo fainali!
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mtani pole..!! maana si kwa povu hili la foma gold..!!
Subiri hapo hapo njia panda..kwisha habari yenu
Ee ni kweli..nasikia wamepeleka malalamiko kuwa wao sio walioanzisha vurugu ni wale waarabu na mashabiki walirudisha kama kujihami..Nimeona chapisho la Simba,walifungiwa michezo miwili ila wamesamehewa mmoja,hivo waliolipa viingilizo wakae na tickets kwa mechi inayokuja baada ya hii
Nani afichwe wewe??? Kwani dunia mbona ipo kiganjani jamani mr uto?Mechi ni mbili mbumbumbu mnafichwa
Sisi popote kambi...YULE KIBOROOSHUTAA WAOO
MPIGA MAKELELE ALISEMA ASBH TUJAZANE
SIJUI ANASEMAJEA JION TUJAZANE VIBANDANI
Hakuna tuna siku moja tuu ya jumapiliHii kitu ni mbaya sana hatua za robo bila mashabiki, ni mwiba kwa simba. Bora wangeitoa mapema pumbav zao
Zingatieni msemo wa msemaji wenu wa"kuifuata furaha kwa jirani" kama hamta ipata kwenu kwahiyo njoo lupaso siku ya jumamosi mtani.Itakua kweli...naona sherehe yetu ya jumapili imeshasitishwa sasa
Mbumbumbu mnadanganywa na viongozi wenu!Soma vizuri ni mechi Moja, ya pili tumepewa msamaha Kwa sababu hii ndio mara ya kwanza kutenda kosa.