Klabu ya Yanga imemtaka Ahmed Ally kuomba radhi kwa matamshi wanayodai yameichafua klabu yao (Yanga) na wanadai fidia ya Tsh Bilioni 10

Klabu ya Yanga imemtaka Ahmed Ally kuomba radhi kwa matamshi wanayodai yameichafua klabu yao (Yanga) na wanadai fidia ya Tsh Bilioni 10

Hivi vilabu vyetu khaa uswahili swahili tu lkn sidhani kama hili Yanga watalivalia njuga kiasi hiki. Wenyewe uko wanacheka na kupigiana cmu, ila sisi huku 😅🙌
 
Unaipanga Yanga yupi wa kushitaki na yupi wa kuacha
Yanga tunaanza na Ahmed Ali liwe funzo Kwa wachambuzi na wajinga wengine
Hakuna kesi hapo wala mwanasheria wa kufungua kesi na kuwafanya mshinde kesi. Kagoma vipi bado ni mchezaji wenu?
 
Kwani Ahmed Ally kazema uongo?
Sindano FC kwan hamtumii sindano kuwadunga walevi wenu kina Pakome na Aziza?
Mkitumia sindano msiambiwe ukweli?
 
Kamwe alikashifu brand ya Sandaland, Ahmedy hajakashifu hapo ili msinde hiyo kesi itabidi kwanza muwashtaki wachambuzi wote wa mpira wanaoiongelea Yanga kwenye media, inaongelewa manchster united sasa utopolo ni nani asiongelewe?
Acha ubush lawyer.
 
Kamwe alikashifu brand ya Sandaland, Ahmedy hajakashifu hapo ili msinde hiyo kesi itabidi kwanza muwashtaki wachambuzi wote wa mpira wanaoiongelea Yanga kwenye media, inaongelewa manchster united sasa utopolo ni nani asiongelewe?
Sanda Naye ni nani asiongelewe?
 
Hakuna kesi hapo wala mwanasheria wa kufungua kesi na kuwafanya mshinde kesi. Kagoma vipi bado ni mchezaji wenu?
Wewe ndo wale Rage alivowaita lile jina la aibu......... Leo silitaji
 
Madai yaliyo ambatanishwa kwenye hiyo barua yao inaonesha ni jinsi gani kitengo cha kisheria cha yanga kilivyo jaa vilaza na ndio maana hawajawahi kushinda kesi yeyote.
 
Madai yaliyo ambatanishwa kwenye hiyo barua yao inaonesha ni jinsi gani kitengo cha kisheria cha yanga kilivyo jaa vilaza na ndio maana hawajawahi kushinda kesi yeyote.
[/QUOT Rage aliona mbali kuwatia mbumbumbu
 
Madai yaliyo ambatanishwa kwenye hiyo barua yao inaonesha ni jinsi gani kitengo cha kisheria cha yanga kilivyo jaa vilaza na ndio maana hawajawahi kushinda kesi yeyote.
Ukishindaa wewe kesi za apo mtaani kwenu inatosha..
 
Hii kesi lengo sio kushinda, lengo ni kuwakumbusha SANDALAND hata sisi tunaweza kuwashtaki.

Ahmed Ally na Ally Kamwe wamekuwa wakitoa kauli tata karibu kila siku na maisha ya utani yanaendelea. Imagine Wazee wanaitisha mkutano na waandishi wa habari wanamtuhumu waziwazi GSM anaharibu ligi pasi kuwa na ushahidi.

Tuhuma za match fixing kwenye ulimwengu wa soka ni tuhuma kubwa sana lakini for the sake of utani wa jadi wanaamua kupotezea tu.

SANDALAND amebipu, Yanga wamepiga. Ni katika kukumbushana tu ukishajihusisha na hizi timu jiandae kupokea kebehi za kila aina.
 
Klabu ya Yanga imemtaka Meneja habari na mawasiliano wa Simba SC , Ahmed Ally kutoka hadharani na kuomba radhi kwa matanshi wanayodai yameichafua klabu yao (Yanga) mbali na hili wanadai fidia ya Tsh Bilioni 10

Kauli ya Ahmed iliyosababisha haya 👇

“Pacome amemaliza mkataba tukiona anafaa tutahangaika nae , Pacome amemaliza mkataba ndani ya Yanga na hana mpango wa kuongeza ..mtanyoa ndevu mwaka huu hana mpango wa kuongeza amechoka kuchomwa sindano kila siku kama anazuia mimba”

“Tunaangalia kiwango chake kama kitaturidhisha tutahangaika nae lakini kama ataendelea na mwenendo wake anaoendelea nao tutawaachia…kama tulivyowaachia Chama na tunataja majina Live hakuna kutumia code”

Demand letter ya Yanga imeeleza kuwa kauli hiyo ni ya upotoshaji na imejaa dharau kwa klabu yao , hivyo imeharibu mahusiano yao na wadau wa kibiashara na wadhamini

Yanga wanamtaka Ahmed afanye yafuatayo ndani ya siku tano (5)

1.Kuomba radhi kwa njia sawa na aliyotumia kutoa kauli yake

2.Kufidia malipo ya Tsh Bilioni 10 ( 10,000,000,000)

Yanga wamemaliza kwa kusema kama hayo maagizi hayatafanyiwa kazi watafuata hatua za kisheria zaidi

Credit _ @cloudsfmtzView attachment 3167601
Wapuuzi soka imewapiga sasa wanahanjahanja
 
Young Africans imemdai msemaji wa Simba Ahmed Ali
Aliyeidhalilisha club ya Yanga alipo sema eti Pacome hana mkataba na Yanga na kwamba amechoka kuchomwa mashindano kama anazuia mimba.

Kauli hiyo imesabibisha Young Africans kuathirika kibiashara

Young Africans imemtaka Ahmed Ali atoke Hadharani aombe radhi au alipe billion 10 Kwa kufanya defamation Kwa club ya Young Africans

Tukumbuke Young ndo bingwa mara 30

Na pia anawakirisha nchi katika club bingwa

Yanga bingwa
Similarly to, character assassinations
 
Klabu ya Yanga imemtaka Meneja habari na mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally kutoka hadharani na kuomba radhi kwa matanshi wanayodai yameichafua klabu yao (Yanga) mbali na hili wanadai fidia ya Tsh Bilioni 10

Kauli ya Ahmed iliyosababisha haya

"Pacome amemaliza mkataba tukiona anafaa tutahangaika nae, Pacome amemaliza mkataba ndani ya Yanga na hana mpango wa kuongeza..mtanyoa ndevu mwaka huu hana mpango wa kuongeza amechoka kuchomwa sindano kila siku kama anazuia mimba"

"Tunaangalia kiwango chake kama kitaturidhisha tutahangaika nae lakini kama ataendelea na mwenendo wake anaoendelea nao tutawaachia...kama tulivyowaachia Chama na tunataja majina Live hakuna kutumia code"

Demand letter ya Yanga imeeleza kuwa kauli hiyo ni ya upotoshaji na imejaa dharau kwa klabu yao, hivyo imeharibu mahusiano yao na wadau wa kibiashara na wadhamini
IMG_1176.jpeg


Yanga wanamtaka Ahmed afanye yafuatayo ndani ya siku tano (5)

1.Kuomba radhi kwa njia sawa na aliyotumia kutoa kauli yake

2.Kufidia malipo ya Tsh Bilioni 10 (10,000,000,000)

Yanga wamemaliza kwa kusema kama hayo maagizi hayatafanyiwa kazi watafuata hatua za kisheria zaidi
 
Back
Top Bottom