Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ali kamwe atajibiwa hilo swali kupitia mahakamaSanda Naye ni nani asiongelewe?
Kwenye sheria kitu pekee unachojua ni terminology ya bushlawyer tu?Acha ubush lawyer.
Unajitekenya. Kamwe alilitajaje Jina la Kampuni? Bwana Sandandio kampuni gani? Jitahidi kuficha aibu ya hilo fuvu lako.😀😀😀😀Ahmed Ally huwa yuko very smart katika natamshi hasa kuitaja brand. Penye Yanga huwa anasema 'nyuma mwiko', sasa ni kazi ya wanasheria wa Yanga kuthibitisha kwamba Nyuma Mwiko ndio Yanga. Msala upo kwa kamdomo Ally Kamwe, maana yeye alitaja kabisa jina la kampuni kama lilivyo
Tukutane mahakamani 😂😂😂Unajitekenya. Kamwe alilitajaje Jina la Kampuni? Bwana Sandandio kampuni gani? Jitahidi kuficha aibu ya hilo fuvu lako.😀😀😀😀
Umesoma maelezo ya Yanga? Au imekurupuka? Pia Ally Kamwe ametaja sanda za kuzikiaAhmed Ally huwa yuko very smart katika natamshi hasa kuitaja brand. Penye Yanga huwa anasema 'nyuma mwiko', sasa ni kazi ya wanasheria wa Yanga kuthibitisha kwamba Nyuma Mwiko ndio Yanga. Msala upo kwa kamdomo Ally Kamwe, maana yeye alitaja kabisa jina la kampuni kama lilivyo
Ally Kamwe imewekwa hadi video jinsi anavyotamka. Tukutane mahakamani 😀 😀 😀Umesoma maelezo ya Yanga? Au imekurupuka? Pia Ally Kamwe ametaja sanda za kuzikia
Hata Ahmed Ally kuna video anaongea hayoAlly Kamwe imewekwa hadi video jinsi anavyotamka. Tukutane mahakamani 😀 😀 😀
Kamtaja pacome kachoka kuchomwa Sindano. Ataenda mahakamani kutoa maelezo kuwa huyo Pacome anayemuongelea ni mchezaji wa timu gani. Maana anakosa la kuharibu brand ya mchezaji na brand ya taasisi.Ahmed Ally huwa yuko very smart katika natamshi hasa kuitaja brand. Penye Yanga huwa anasema 'nyuma mwiko', sasa ni kazi ya wanasheria wa Yanga kuthibitisha kwamba Nyuma Mwiko ndio Yanga. Msala upo kwa kamdomo Ally Kamwe, maana yeye alitaja kabisa jina la kampuni kama lilivyo
Sawa. Mahakama itatafsiri kama kuchomwa sindani kwa Pacome ni jambo la kuchafua jina la Yanga, maana hata hakimu amewahi kuchomwa sindani hospitali 😀😀 😀Kamtaja pacome kachoka kuchomwa Sindano. Ataenda mahakamani kutoa maelezo kuwa huyo Pacome anayemuongelea ni mchezaji wa timu gani. Maana anakosa la kuharibu brand ya mchezaji na brand ya taasisi.
Bwana Sanda ndio nani kwani huko kwenu makolo?Ally Kamwe imewekwa hadi video jinsi anavyotamka. Tukutane mahakamani 😀 😀 😀
Sanda ni mmiliki wa kampuni ya uuzaji wa nguo, jina lake kamili ni Sanda Omary Yenga. Kwa hiyo Ally Kamwe alitaja kwa uhalisi kabisa wa 100% jina la Mr. Sanda. Hii ni kesi ya Sanda dhidi ya Ally Kamwe, Simba haihusikiBwana Sanda ndio nani kwani huko kwenu makolo?
Wewe nimeona ni bwege kweli kweli,,unajua maana ya kukashifu? Je brand ya timu ni ipi? Sindano alizozisema anatakiwa akathibitishe mahakamani pasipokuwa na shaka,,iyo tu ni kuichafua brand ya timu mbele ya umma na wabia wa kibiashara,,Tunaposema utani ubaki kama utani tunakuwa tunamaanisha maana sandaland kaanzisha na kesi yake aina tofauti na iyo ya Ahmed Aly kwa kuwa anasema kaichafua brand yake ivyo na Ahmed Aly kaichafua brand ya yanga!Kamwe alikashifu brand ya Sandaland, Ahmedy hajakashifu hapo ili msinde hiyo kesi itabidi kwanza muwashtaki wachambuzi wote wa mpira wanaoiongelea Yanga kwenye media, inaongelewa manchster united sasa utopolo ni nani asiongelewe?
Kwaiyo kosa la Aly kamwe ni lipi? Kitendo cha kusema jezi hazina ubora ndio kosa? Kati ya matamshi ya alys kamwe na Ahmed Aly ni yapi makali zaidi? Unaweza kuthibitisha mahakamani nini maana ya neno sanda? Na linatumiwa wapi? Masuala ya kesheria kama ujui ni Bora unyamaze akuna kesi hapo kwa aly kamwe ni kuchosha watu tu!Unamshtaki kwa kosa lipi? Kila kosa lina ingredients zake hilo kosa mnalotaka kumshitaki nalo linaenda kutupiliwa mbali halina tija hajakashif chochote
Bora Yanga wapo wawili, kwako ni Rage peke yakeUtopolo wenye akili ni wawili tu