Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
unamfuatilia, ndio maana uliweza kujua kuwa anakufuatiliaanzisha Uzi wako tuone
Mimi akili kubwa ndo maana unanifatilia kila ninachoandika hapa jukwaani
Unajileta kuweka comment wakati hata Mimi sikufuatilii hata kidogo
π€£π€£π€£π€£Uzi wa kipuuzi ndio maana hata utopolo wenzio wamekususia uzi wako hawajaja kuchangia.
Aya mambo ya kudaiana daina yatakuwa kama yale ya patent kati ya samsung na apple hadi wao ilifika kipindi wakaona kweli ni udwanzi wakaamua achana nayo.Young Africans imemdai msemaji wa Simba Ahmed Ali
Aliyeidhalilisha club ya Yanga alipo sema eti Pacome hana mkataba na Yanga na kwamba amechoka kuchomwa mashindano kama anazuia mimba.
Kauli hiyo imesabibisha Young Africans kuathirika kibiashara
Young Africans imemtaka Ahmed Ali atoke Hadharani aombe radhi au alipe billion 10 Kwa kufanya defamation Kwa club ya Young Africans
Tukumbuke Young ndo bingwa mara 30
Na pia anawakirisha nchi katika club bingwa
Yanga bingwa
Mbumbumbu wachokoziAya mambo ya kudaiana daina yatakuwa kama yale ya patent kati ya samsung na apple hadi wao ilifika kipindi wakaona kweli ni udwanzi wakaamua achana nayo.
Nadhani yanga wanajibu maana hawa vijana walikuwa wanapigana madongo tu ya kawaida ambayo sometimes anayesikiliza anajua kabisa si kweli tu wanasheherehesha.
Sasa yanini kupelekana mahakamani.
Ametamkaje mkuu? Yule kasema Bwana Sanda. Je tukienda BRELA tutakuta kuna kampuni imesajiliwa kwa jina la Bwana Sanda?Ally Kamwe imewekwa hadi video jinsi anavyotamka. Tukutane mahakamani π π π
Sanda ni mmiliki wa kampuni ya uuzaji wa nguo, jina lake kamili ni Sanda Omary Yenga. Kwa hiyo Ally Kamwe alitaja kwa uhalisi kabisa wa 100% jina la Mr. Sanda. Hii ni kesi ya Sanda dhidi ya Ally Kamwe, Simba haihusiki
Hao waache wapambane na Ali kamwe wakishtuka Yanga bingwaBrela kuna kampuni inaitwa Bwana Sanda? Kabla ya huyo sandaland kuingia ukoloni Nani alkuwa anamjua? Nyie makolo jezi mbovu zimedoda mnatafuta pakufidia sasa hamed alli anatukana wachezaji wa Yanga tena kwa majina kabsa hapo huoni utofauti?
Hata mimi huwa simwelew huyu jamaa,akizungumza lazima aiseme yangaAmezidi nae kawa kama msemaji wa Yanga
Ataulizwa sindano ya kitu gani aliyokuwa anachomwa Pacome kila siku? Tutasubiri atoe jibu kama ni ya maleria au ya kitu gani.Sawa. Mahakama itatafsiri kama kuchomwa sindani kwa Pacome ni jambo la kuchafua jina la Yanga, maana hata hakimu amewahi kuchomwa sindani hospitali ππ π
Acha kuiga matamshi, watu wapo smart πππ
siku hizi JF imevamiwa na viazi mbatataKweli utopolo ni vilaza na huyo mwanasheria wao nae pia ni kilaza hapo kashfa iko wapi? ndo maana hawajawahi kushinda kesi yoyote, Ahmedy asiombe radhi aache hiyo defamation iende mahakamani ili ikatupiliwe mbali alafu Ahmedy awadai tena fidia Billion 10 za kumsumbua maana huyo mwanasheria wa yanga ni zaidi ya kiazi
Sandaland na simba ni vitu viwili tofautiHii kesi lengo sio kushinda, lengo ni kuwakumbusha SANDALAND hata sisi tunaweza kuwashtaki.
Ahmed Ally na Ally Kamwe wamekuwa wakitoa kauli tata karibu kila siku na maisha ya utani yanaendelea. Imagine Wazee wanaitisha mkutano na waandishi wa habari wanamtuhumu waziwazi GSM anaharibu ligi pasi kuwa na ushahidi.
Tuhuma za match fixing kwenye ulimwengu wa soka ni tuhuma kubwa sana lakini for the sake of utani wa jadi wanaamua kupotezea tu.
SANDALAND amebipu, Yanga wamepiga. Ni katika kukumbushana tu ukishajihusisha na hizi timu jiandae kupokea kebehi za kila aina.
Atasema sindano za malaria, halafu atasema sina uthibitisho kama alikuwa anachoma kila siku. Baada ya hapo utaona kama hukumu yake itazidi sh. milioni moja, ambazo atazilipa kutoka mfuko wa shati. Kwa Ally Kamwe sasa, shughuli ipo!swali 2: je wewe ndiye daktari wake uliyemwandikia hizo sindano?
swali 3: tunaomba uthibitisho kuwa Pacome alikuwa anachoma hizo sindano ulizozisemea kila siku
Hilo utalijua mahakamani π π πBrela kuna kampuni inaitwa Bwana Sanda?
Je, Ahmed Ally anaweza kuithibitishia mahakama kuwa Yanga wamekuwa wakimchoma sindano Pacome ili acheze?Kweli utopolo ni vilaza na huyo mwanasheria wao nae pia ni kilaza hapo kashfa iko wapi? ndo maana hawajawahi kushinda kesi yoyote, Ahmedy asiombe radhi aache hiyo defamation iende mahakamani ili ikatupiliwe mbali alafu Ahmedy awadai tena fidia Billion 10 za kumsumbua maana huyo mwanasheria wa yanga ni zaidi ya kiazi
Wakisema au kuandika Simba ni sahihi na haki, ila akisema Yanga ni ujinga mtupu!Ujinga mtupu
Sasa mbona umehitimisha kwa kiasi unachonisikia wewe?Atasema sindano za malaria, halafu atasema sina uthibitisho kama alikuwa anachoma kila siku. Baada ya hapo utaona kama hukumu yake itazidi sh. milioni moja, ambazo atazilipa kutoka mfuko wa shati. Kwa Ally Kamwe sasa, shughuli ipo!
Yani wasemaji wa hii ligi sijui hawana weledi.. wanatakiwa kuzungumzia club zao sio maneno mawili unazungumzia club ingineHata mimi huwa simwelew huyu jamaa,akizungumza lazima aiseme yanga
Badala aisemee simba yetu