kwa hiyo mmemsajili kwa ajili ya mechi za derby?Wachezaji wa aina hii ndio wanaosababisha maafa siku ya Derby ya Watani. Maana unamwona wa kawaida sana akikutungua unazimia! Refer Morrison majina aliyokuwa anaitwa aliposajiliwa Yanga, mara mwizi wa magari hajui mpira mara anajua kupanda mpira kucheza hajui. Kilichotokea baadaye sote tunajua, aliwapiga Simba goli la kikatili halafu baadaye akasimisha nchi na FIFA (through CAS). Zaidi alikuja kuwa ndiye mkombozi wa Simba inapofeli plan zote uwanjani iwe kwelnye ligi ya Bongo au mechi za CAF. Tumpe muda Bw. Kambole!
Mngekuwa hampendi maneno ya kike kike msinge msajili manara dirisha dogoMpira ni uwanjani na sio maneno maneno na mipasho ya kikekike, kama yanga wamepigwa si itaonekana uwanjani kwani shida nini? Yule miksoni alivyoferi south africa akarudishwa ud songo kwa mkopo alikuwa mbaya? Mbona alienda akakiwasha upya? Yule morrison aliyeokotwa mitaani mbona alikuja akakiwasha hapa? Kuweni na akiba ya maneno na msiishi kwa kukariri eti kwa kuwa ameferi afrika kusini basi sio mchezaji mzuri, aujui ata mazingira wanayokutana nayo awa wachezaji anapohamia ligi nyingine kuna changamoto nyingi sana, Kwangu mimi ninahamini kambole anaenda kurudi kwenye moto wake ni suala la muda tu na mtayafuta maneno yenu
Bahati na sibu sio kipaumbele na ndio maana tunaangalia statisticsUsajili wa mchezaji una mambo mengi mkuu na ndio maana inaitwa bahati nasibu. Unaweza ukachukua mchezaji top scorer lakini akaja kuwa wa kawaida tu. Au unaweza ukachukua mchezaji ambaye ni rejected lakini wakaja kuwa msaada mkubwa kwenye timu. Chochote kinaweza kutokea kwenye usajili. Nadhani mifano halisi utakuwa unayo kama ni mfuatiliaji na mpenzi wa mpira wa miguu. Usajili ni kamari mkuu
Tumempenda wenyewe,so kama ni galasa nyie Mikia nini kinawauma na si mchezaji wenu?Bora Wawa kuliko huyu galasa, yaani msimu mzima striker ana goli 1 ahahahhaha
Mmesajili mkaa benchi mwenye goli 2 misimu miwili acha mboyoyoYanga ina kocha mwenye balaa kubwa na fomesheni ya hatari sana hata kama hujui kucheza vizuri na hujafunga goli hata moja msimu mzima kama Boko, Mugalu na Kagere ila ukipata training ya Nabi wiki tu balaa lako si la nchi hii. Kambole atakuja kuwapasua Mikia FC aka Makolo!!
Prof Nabi hata ukimpa "Ubelgiji FC" ya ndondo wiki moja tu ikija Simba wanaipasua! !
Fomesheni ya Yanga dhidi ya Mikia kule CCM Kirumba ni kali kuliko fomesheni za Real Madrid!
Simba haitotoboa hadi imuombe msamaha Hajji Manara kuna kitu we Young Africa fans do not know mmemfanyia Hajji na hamkisemi halafu jamaa ana nongwa kinoma na ana upepo flani , mtakoma!!
Morrison alipokuja Tz alikuwa wapi?hana maajabu misimu miwili goli mbili kwi kwi
Hii striker tishio ndio hatutaki huu uongo, haiwezekani striker tishio msimu mzima goli 1, labda mseme tishio wa suraTumempenda wenyewe,so kama ni galasa nyie Mikia nini kinawauma na si mchezaji wenu?
Sawa Morrison alipokuja nchini alikuwa anacheza wapi?Mmesajili mkaa benchi mwenye goli 2 misimu miwili acha mboyoyo
Morrison aliacha kucheza kwa mambo binafsi ya kitabia , sio kama huyo Kamba ulaya msimu mzima goli 1 kama la dawaMorrison alipokuja Tz alikuwa wapi?
Chico ni mzuri kuliko MolokoChico Ushindi kwa mbaaaali nimeanza kumuelewa, itakuwa alikuwa majeruhi wa muda mrefu. Ana ball balance nzuri sana, mwili anao apunguze papara ambazo kwa mbaali nimeanza kuona akizinguza
Morrison alifukuzwa kwa mambo binafsi ya nje ya uwanja, sio huyo mkaa benchi mwenye goli 1 la dawa msimu mzimaSawa Morrison alipokuja nchini alikuwa anacheza wapi?
Kwa kambale hapana mzee hii ni record moja mbovu sanaMpira ni tofauti na vitu vingine chief labda uwe sio mfatiliaji sana wa hizi mambo, wachezaji wengi sana wanafeli team wanazosajiliwa lakini haimaanishi ni wabovu..
hii iko kote kote sio kwetu tu huku nchi za ulaya pia naweza kukupa mifano mingi sana ya hizi issue kama ukitaka kunakuwa na factors nyingi sana, mfano Luís Miquissone unajua amecheza match ngap pale Al Ahly? Ana magoal mangap? Sasa relate na moto aliowasha hapa bongo same na kwa Chama mpaka akaamua kurudi, mpira haupo hivo mzee
Ana 13 sio 15Mwaka jana alichukua kiatu cha mfungaji bora akiwa na magoli 17
Msimu huu ulioisha amekuwa wa pili kwa ufungaji akiwa na magoli 15
Nikama Chama tu,Tz anaabudiwa ila alipokuwa RS Berkane alikuwa anabeba jezi za wenzake, level ya ligi nayo inasadifu, mchezaji anaye kaa benchi Ligi ya Africa Kusini, hawezi kuwa sawa na mchezaji anayeanza kikosi cha Mbeya cityHii striker tishio ndio hatutaki huu uongo, haiwezekani striker tishio msimu mzima goli 1, labda mseme tishio wa sura
Sema hivi wanaosajili ni gsm na wanaolipa mshahara ni gsmWaliosajili ni yanga nafikiri ata kama wameuziwa mbuz kwrnye gunia wewe aikuusu, waliotoa pesa ni yanga, aliyempendekeza ni kocha wa yanga, anayemlipa mshahara ni yanga ivyo sioni huu mjadala kama una afya yoyote zaidi ya kupotezeana muda hapa, ukizingatia bado ajaonyesha huo ubovu wake kwenye ligi yetu, bahati nzuri mpira unachezwa hadharani kama ni mbovu ataonekana tu kwani shida nini, atuwezi kumuhukumu mtu kwa historia yake ya nyuma mpaka tujiridhishe kwa vitendo na sio porojo za kwenye vijiwe vya kahawa
Giroud alipobeba kombe la Dunia na Ufaransa alikuwa na goli ngapi mpaka fainali?Morrison aliacha kucheza kwa mambo binafsi ya kitabia , sio kama huyo Kamba ulaya msimu mzima goli 1 kama la dawa
Kwahiyo mtu kukaa bench maana yake si mchezaji mzuri Kwa uelewa wako? Unadhani hapo Kaizer alipelekwa tu na mjomba yake?Morrison alifukuzwa kwa mambo binafsi ya nje ya uwanja, sio huyo mkaa benchi mwenye goli 1 la dawa msimu mzima