Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

Zile pass za upendo za Sureboy, Dr Aucho, Pass Master Feitoto, Farid Mussa, aisee Kambole atakuwa adui mkubwa wa magolikipa
Hizo pasi unafikiri huko kaizer alikuwa hapewi?

Ushaambiwa kambale yani kila mpira unaofikia kwake unateleza sa atafungaje kwa style hiyo?

Na nyie mmekuwa wajanja kiaina mmeogopa kuuziwa jumba bovu mkaamua mumpe miezi sita kama mkataba wa fremu
 
Kama kocha ndio amemtaka mimi sina neno huenda ana plan naye nyingine, lakini kama amesajiliwa kwa kuwa straiker nadhani ni Ditram Nchimbi mpya huyu.

Ila ukweli utabaki timu za Tanzania hatuna uwezo wa kuvunja mikataba ya top players kwa kutegemea pesa binafsi za GSM na za Mo Dewji, tusiukimbie ukweli huu.

Ndio maana tutarukaruka lakini tukifanikiwa kufika robo fainali ndio utajuwa maana ya quality players na kusajiri ni nini?
Yani kuna vitu vingine lazima uweke kiulizo hata kama ni proffesional yake lakini kuna mahali kila mtu anaelewa hii kitu ni famba

Labda kama ni nfugu yake na anampigia connection apate ugali

Au labda kaona hatakuwa na madhara ya kui cost timu kwakua tayari mkononi ana wachezaji wengine bora kama backup

Na ndio maana wamekuja na tahadhari kwa kumsainisha mkataba wa miezi 6 kama fremu ya biashara.

Siku anayomaliza mkataba itaonekana kama ni mpangaji aliyepewa notsi na mwenye nyumba.

Ishu ya kuvunja mikataba top prayers ni kutokana na ulafi wa viongozi wetu. Kama unaweza kuuza mchezaji kwa gharama inayokaribiana na top player unayemtaka kwanini usitumie pesa hiyo hiyo au kuongeza kiasi kingine kidogo kununua top players?
 
Kama Huyu mchezaji alishindwa kuwika kwenye Hii Kaizer Chief Basi Tena
Huku mpira sio uwanjani, tunaye white huyu ni mahususi kwa ajili ya kukuza vipaji vya wachezaji sugu ambao wanapitia wakati mbaya
 
Yani kuna vitu vingine lazima uweke kiulizo hata kama ni proffesional yake lakini kuna mahali kila mtu anaelewa hii kitu ni famba

Labda kama ni nfugu yake na anampigia connection apate ugali

Au labda kaona hatakuwa na madhara ya kui cost timu kwakua tayari mkononi ana wachezaji wengine bora kama backup

Na ndio maana wamekuja na tahadhari kwa kumsainisha mkataba wa miezi 6 kama fremu ya biashara.

Siku anayomaliza mkataba itaonekana kama ni mpangaji aliyepewa notsi na mwenye nyumba.

Ishu ya kuvunja mikataba top prayers ni kutokana na ulafi wa viongozi wetu. Kama unaweza kuuza mchezaji kwa gharama inayokaribiana na top player unayemtaka kwanini usitumie pesa hiyo hiyo au kuongeza kiasi kingine kidogo kununua top players?
Usijitie upofu, Simba na Yanga usajili wao unategemea ufadhili na siyo pesa za club.

Utahoji pesa za Chama na Luis na wenye timu yao watakupa bajeti ya timu season nzima inatafuna pesa kiasi gani.
Imagine kama Yanga ile kambi tu ya Avic town ni mali ya GSM club haitumii pesa ya kambi ikiwa Dar.
Tupige tu porojo humu kwa sasa mustakabari wa hizi timu za kariakoo zinategemea hisani ya Mo Dewji na GSM tu. Ukweli ndio huo.
 
Usijitie upofu, Simba na Yanga usajili wao unategemea ufadhili na siyo pesa za club.

Utahoji pesa za Chama na Luis na wenye timu yao watakupa bajeti ya timu season nzima inatafuna pesa kiasi gani.
Imagine kama Yanga ile kambi tu ya Avic town ni mali ya GSM club haitumii pesa ya kambi ikiwa Dar.
Tupige tu porojo humu kwa sasa mustakabari wa hizi timu za kariakoo zinategemea hisani ya Mo Dewji na GSM tu. Ukweli ndio huo.
Sahihi kabisa
 
Yanga ina kocha mwenye balaa kubwa na fomesheni ya hatari sana hata kama hujui kucheza vizuri na hujafunga goli hata moja msimu mzima kama Boko, Mugalu na Kagere ila ukipata training ya Nabi wiki tu balaa lako si la nchi hii. Kambole atakuja kuwapasua Mikia FC aka Makolo!!

Prof Nabi hata ukimpa "Ubelgiji FC" ya ndondo wiki moja tu ikija Simba wanaipasua! !

Fomesheni ya Yanga dhidi ya Mikia kule CCM Kirumba ni kali kuliko fomesheni za Real Madrid!

Simba haitotoboa hadi imuombe msamaha Hajji Manara kuna kitu we Young Africa fans do not know mmemfanyia Hajji na hamkisemi halafu jamaa ana nongwa kinoma na ana upepo flani , mtakoma!!
Mshambuliaji miaka miwili kiwanjani una goli mbili (tena uskiute zote za penati)

Na yanga ilivyo na mbwembwe wamemtambulisha wakiwa wamemvika na kijora

Imagine hizo ni goli 2 lakini na kijora kavishwa

Ebu fikiria angekuwa na goli kumi tu hali ingeluwaje kwenye utambulisho wake?
 
Mshambuliaji hatari angeanzaje kutemwa na club yake ambayo imecheza mpaka fainali?

Bila shaka kaizer chiefs wamegundua ipo sababu ya wao kushindwa kuchukua kombe kwenye fainali ya CAF federation a sababu hiyo imechangiwa na wimbi la wachezaji mizigo

Timua timua ya kutafuta mchawi nani imeanza. Sasa kila mchezaji ambaye alionekana kimeo ametimuliwa, ajabu kuna timu nyingne inakuja kumpokea na kumpa sifa tele ambazo naamini hata kaizer watakuwa wanashangaa
Walichofanya Kaizer kinatakiwa fanywa na Simba
 
Mshambuliaji hatari angeanzaje kutemwa na club yake ambayo imecheza mpaka fainali?

Bila shaka kaizer chiefs wamegundua ipo sababu ya wao kushindwa kuchukua kombe kwenye fainali ya CAF federation a sababu hiyo imechangiwa na wimbi la wachezaji mizigo

Timua timua ya kutafuta mchawi nani imeanza. Sasa kila mchezaji ambaye alionekana kimeo ametimuliwa, ajabu kuna timu nyingne inakuja kumpokea na kumpa sifa tele ambazo naamini hata kaizer watakuwa wanashangaa
Mpira ni tofauti na vitu vingine chief labda uwe sio mfatiliaji sana wa hizi mambo, wachezaji wengi sana wanafeli team wanazosajiliwa lakini haimaanishi ni wabovu..

hii iko kote kote sio kwetu tu huku nchi za ulaya pia naweza kukupa mifano mingi sana ya hizi issue kama ukitaka kunakuwa na factors nyingi sana, mfano Luís Miquissone unajua amecheza match ngap pale Al Ahly? Ana magoal mangap? Sasa relate na moto aliowasha hapa bongo same na kwa Chama mpaka akaamua kurudi, mpira haupo hivo mzee
 
Usijitie upofu, Simba na Yanga usajili wao unategemea ufadhili na siyo pesa za club.

Utahoji pesa za Chama na Luis na wenye timu yao watakupa bajeti ya timu season nzima inatafuna pesa kiasi gani.
Imagine kama Yanga ile kambi tu ya Avic town ni mali ya GSM club haitumii pesa ya kambi ikiwa Dar.
Tupige tu porojo humu kwa sasa mustakabari wa hizi timu za kariakoo zinategemea hisani ya Mo Dewji na GSM tu. Ukweli ndio huo.
Umeongea ukweli mkuu.
 
Yanga ina kocha mwenye balaa kubwa na fomesheni ya hatari sana hata kama hujui kucheza vizuri na hujafunga goli hata moja msimu mzima kama Boko, Mugalu na Kagere ila ukipata training ya Nabi wiki tu balaa lako si la nchi hii. Kambole atakuja kuwapasua Mikia FC aka Makolo!!

Prof Nabi hata ukimpa "Ubelgiji FC" ya ndondo wiki moja tu ikija Simba wanaipasua! !

Fomesheni ya Yanga dhidi ya Mikia kule CCM Kirumba ni kali kuliko fomesheni za Real Madrid!

Simba haitotoboa hadi imuombe msamaha Hajji Manara kuna kitu we Young Africa fans do not know mmemfanyia Hajji na hamkisemi halafu jamaa ana nongwa kinoma na ana upepo flani , mtakoma!!
Haji Manara asiturithishe chuki zake na ugomvi wake na Simba amalizane nao binafsi bila kutumia brand ya Yanga.

Hao matajili GSM wamwambie waziwazi tupo wana Yanga ambao tunachukizwa na hatupendi press za Yanga kuwaongelea Simba hata kwq mafumbo.

Tunahitaji press inayoongelea habari za Yanga, lich ya furaha ya ubingwa deni kubwa ni mechi za kimataifa ambazo tumekuwa tukifanya vibaya na tukipangiwq Waarabu unahesabu wazi tumeshatolewa.

Hebu tujikite kwenye hili.
 
Mshambuliaji miaka miwili kiwanjani una goli mbili (tena uskiute zote za penati)

Na yanga ilivyo na mbwembwe wamemtambulisha wakiwa wamemvika na kijora

Imagine hizo ni goli 2 lakini na kijora kavishwa

Ebu fikiria angekuwa na goli kumi tu hali ingeluwaje kwenye utambulisho wake?
Usajili wa mchezaji una mambo mengi mkuu na ndio maana inaitwa bahati nasibu. Unaweza ukachukua mchezaji top scorer lakini akaja kuwa wa kawaida tu. Au unaweza ukachukua mchezaji ambaye ni rejected lakini wakaja kuwa msaada mkubwa kwenye timu. Chochote kinaweza kutokea kwenye usajili. Nadhani mifano halisi utakuwa unayo kama ni mfuatiliaji na mpenzi wa mpira wa miguu. Usajili ni kamari mkuu
 
Usajili wa mchezaji una mambo mengi mkuu na ndio maana inaitwa bahati nasibu. Unaweza ukachukua mchezaji top scorer lakini akaja kuwa wa kawaida tu. Au unaweza ukachukua mchezaji ambaye ni rejected lakini wakaja kuwa msaada mkubwa kwenye timu. Chochote kinaweza kutokea kwenye usajili. Nadhani mifano halisi utakuwa unayo kama ni mfuatiliaji na mpenzi wa mpira wa miguu. Usajili ni kamari mkuu
Ndio maana George Mpole ni kama vile watu hawamuoni, walishajifunza kwa Salamba na Ditram Nchimbi.
 
Haji Manara asiturithishe chuki zake na ugomvi wake na Simba amalizane nao binafsi bila kutumia brand ya Yanga.

Hao matajili GSM wamwambie waziwazi tupo wana Yanga ambao tunachukizwa na hatupendi press za Yanga kuwaongelea Simba hata kwq mafumbo.

Tunahitaji press inayoongelea habari za Yanga, lich ya furaha ya ubingwa deni kubwa ni mechi za kimataifa ambazo tumekuwa tukifanya vibaya na tukipangiwq Waarabu unahesabu wazi tumeshatolewa.

Hebu tujikite kwenye hili.
Kwahuyo sahau mkuu, mswahili ni mswahili tu. Binafsi nilivyoona kaletwa Yanga nilichukizwa na ujio wake na sioni namna ya kubadilika. Pengine hao matajili ndio wanapenda kusikia mambo ya namna hii.
 
Mshambuliaji miaka miwili kiwanjani una goli mbili (tena uskiute zote za penati)

Na yanga ilivyo na mbwembwe wamemtambulisha wakiwa wamemvika na kijora

Imagine hizo ni goli 2 lakini na kijora kavishwa

Ebu fikiria angekuwa na goli kumi tu hali ingeluwaje kwenye utambulisho wake?
Mpira ni uwanjani na sio maneno maneno na mipasho ya kikekike, kama yanga wamepigwa si itaonekana uwanjani kwani shida nini? Yule miksoni alivyoferi south africa akarudishwa ud songo kwa mkopo alikuwa mbaya? Mbona alienda akakiwasha upya? Yule morrison aliyeokotwa mitaani mbona alikuja akakiwasha hapa? Kuweni na akiba ya maneno na msiishi kwa kukariri eti kwa kuwa ameferi afrika kusini basi sio mchezaji mzuri, aujui ata mazingira wanayokutana nayo awa wachezaji anapohamia ligi nyingine kuna changamoto nyingi sana, Kwangu mimi ninahamini kambole anaenda kurudi kwenye moto wake ni suala la muda tu na mtayafuta maneno yenu
 
Back
Top Bottom