Zeddicus Zu'l Zorander
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 804
- 951
Achana nao wabongo tumejaa wivu
Wabongo stress zinawasumbua, hadi kwenye mada za kusogeza masaa wanaanza kuleta usomi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nao wabongo tumejaa wivu
Kwa uzoefu wangu wa kupanda hilo bomba hapo ni KIA 😉Majuzi nilipata mchongo wa kwenda US -Chicago. Wenyeji wakanikatia tiketi KLM aisee mzinga wa ndege. niwe mkweli Sijawahi kupanda ndege Kama ile. Japo enzi za fastjet niliwahi kwenda KIA na kurudi tu. Tembea uone. Ushamba tupa kule.
View attachment 2212929
Mzinga wa pipa mmaae saa 2 kasoro Kia linapaa 2 Dar then AMSTERDAMKwa uzoefu wangu wa kupanda hilo bomba hapo ni KIA 😉
Kia to dar dk 45 tu,hata tairi aliingizi ndani dar hii hapaMzinga wa pipa mmaae saa 2 kasoro Kia linapaa 2 Dar then AMSTERDAM
Ha ha ha. Humo ndani wabantu mnahesabika. Full wazunguKia to dar dk 45 tu,hata tairi aliingizi ndani dar hii hapa
Nadhani kuna kipindi KQ waliwauzia shares pia. Hawa jamaa wana bahati kwamba uwanja wao wa Amsterdam Schiphol ni connection hub ya dunia nzima. Amsterdam ni kiwanja ambacho ndege za kuelekea karibia mahali popote duniani zipoKuna jamaa yangu anafanya kazi kwenye hili shirika la ndege la KLM .Anasema wapo vizuri mno hata kimaslahi..Jamaa yupo Amsterdam anakula tuu maisha.
Halafu ni hivi: huwa likitoka Amstedam linatua KIA. Likitoka KIA linakuja kutua JKIA kwa ajili ya kubadilisha CABIN CREW na kuchukua abiria wengine. Baada ya hapo destination ni Amsteradam tena bila kutua popote. Acha kabisa I see!Mzinga wa pipa mmaae saa 2 kasoro Kia linapaa 2 Dar then AMSTERDAM
Hatari fire hilo dudeHalafu ni hivi: huwa likitoka Amstedam linatua KIA. Likitoka KIA linakuja kutua JKIA kwa ajili ya kubadilisha CABIN CREW na kuchukua abiria wengine. Baada ya hapo destination ni Amsteradam tena bila kupumzika. Acha kabisa I see!
Halafu sasa ukute ni ile kitu inaitwa Boeing MC Douglass, nadhani ndiyo ile ina tairi tatu tatu kwenye miguu katika kila mguu. Kwa hilo dude, huyu unayemuona hapa ni cha mtotoHatari fire hilo dude
Mzigo unapopaaa unausikia mpaka kwenye main. Tutafute pesa tu wazee, starehe sio kupiga malaya tuHalafu ni hivi: huwa likitoka Amstedam linatua KIA. Likitoka KIA linakuja kutua JKIA kwa ajili ya kubadilisha CABIN CREW na kuchukua abiria wengine. Baada ya hapo destination ni Amsteradam tena bila kutua popote. Acha kabisa I see!
Wabongo. Maskini kama wachawi vile,mtu kasimulia raha ya klm,mtu analeta ujuaji,Wabongo ni complex mno. Kakuambia anakutisha? Punguza stress
Wengine roho mbaya tuWabongo. Maskini kama wachawi vile,mtu kasimulia raha ya klm,mtu analeta ujuaji,
Ndege ni bonge la usafiri,ukisafiri kutoka Dar kwenda SA kupitia Ethiopia,Kuna Raha mazee,dar mpaka Ethiopia Kuna saa tatu,Ethiopia mpaka SA mwendo wa saa Tano na bonge la Ndege,Ethiopia airline.
Ambacho hujui, wanazinua Boeing(mwenye ndege nyingi zaidi kwenye mashirika ya ndege duniani) na Air BusNdege ni za waarabu Tu,
Emirates, Qatar, Kwa mbali Etihad,
Hizi nyingine wanaforce king tu
Sijaelewa ulichoandikaAmbacho hujui, wanazinua Boeing(mwenye ndege nyingi zaidi kwenye mashirika ya ndege duniani) na Air Bus
Ndege ni za waarabu Tu,
Emirates, Qatar, Kwa mbali Etihad,
Hizi nyingine wanaforce king tu
Mm nimezungunzia kama mteja,Hujui unachokisema wewe
Mm nimezungunzia kama mteja,
Kwa huduma Bora KLM asuburi sana
Hata mimi sijaelewaSijaelewa ulichoandika