mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Sasa hivi tunalamba asali kwanzaPipa la heshima hilo. Huwez kukuta wadangaji wanaoenda kuuza nyapu Dubai, China na India. Maana nauli yake mikasi
Unafikir hao wadangaj hawapend asali??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi tunalamba asali kwanzaPipa la heshima hilo. Huwez kukuta wadangaji wanaoenda kuuza nyapu Dubai, China na India. Maana nauli yake mikasi
Hujui unachokisema wewe, hujawahi kupanda KLM na wala hujawahi kusikia habari zake kwa walioipanda. Umekariri Emirates lakini huwa wanazingua sana sometimes huduma zao ndani ya ndege. Wahudumu wanakuwa na attitude sana hasa wakihudumia ngozi nyeusi. KLM hawana upuuzi
Mzungu balaaUkipanda Airbus 380 si utachanganyikiwa kabisa. Kitu Dubai to JFK 14 hours mnakula tu upepo.
Hapo ndio unajua kweli mzungu mchawi
Hv kwa wazungu wenzetu Wana Katiba mpya?Mzungu balaa
Siko technical sana katika maswala haya, ila nilichokuwa nina refer ni yale madege makubwa ya KLM yana pairs za tairi tatu kwenye kila mguu, tairi sita kwa ujumla katika kila mguu. Nadhani haya ndiyo Boeing MC DouglasMkuu una uhakika na ulichoandika?
Siko technical sana katika maswala haya, ila nilichokuwa nina refer ni yale madege makubwa ya KLM yana pairs za tairi tatu kwenye kila mguu, tairi sita kwa ujumla katika kila mguu. Nadhani haya ndiyo Boeing MC Douglas
PoaMC Douglas sidhani kama zina tairi 3 na sidhani kama KLM bado anazitumia. Ila ukigoogle current KLM fleet au ya mwaka unaotaka utapata ndege zao zote walizonazo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na kwa hizi bei za mafuta mbona makasiriko yatazidi sana. Itafika kipindi tutaanza kupandisha mashetaniWabongo stress zinawasumbua, hadi kwenye mada za kusogeza masaa wanaanza kuleta usomi
Hv kwa wazungu wenzetu Wana Katiba mpya?
Hapana. Huko nyuma, wazungu wameuana sana hadi kufikia stage hii waliyopo sasa. Walikuwa kama tulivyo sisi leo, wakatumia adhabu ya kifo pasipo kusitasita; kitu ambacho kwa sasa hivi haiwezekani tena kukifanya; nchi yoyote ile popote pale duniani haiwezi kuruhusiwa tena kufanya kitu cha namna hiyo. Walifanya hivyo enzi zile za kale sisi tulipokuwa bado tuko kwenye enzi za ujimaWazungu wanajitambua walitengeneza katiba isiyowalinda mafisadi toka mwanzo!! Huoni Trump anavyopata kashi kashi na vyombo vya sheria Marekani? Taasisi zao ni IMARA na hakuna mtu aliye juu ya sheria!
Boeing iliinunua kampuni ya kutengeneza ndege ya McDonnell Douglas Corporation mwaka 1996. Ila sijawahi kusikia aina hiyo ya modeli ya ndege uliyotaja yaani Boeing MC Douglas. Nitajaribu kugoogle pia niongeze ufahamu zaidiSiko technical sana katika maswala haya, ila nilichokuwa nina refer ni yale madege makubwa ya KLM yana pairs za tairi tatu kwenye kila mguu, tairi sita kwa ujumla katika kila mguu. Nadhani haya ndiyo Boeing MC Douglas
Hivi kiwanda cha General Tyre Arusha kimeishia wapi?Boeing iliinunua kampuni ya kutengeneza ndege ya McDonnell Douglas Corporation mwaka 1996. Ila sijawahi kusikia aina hiyo ya modeli ya ndege uliyotaja yaani Boeing MC Douglas. Nitajaribu kugoogle pia niongeze ufahamu zaidi
.
JPM alikuwa na mpango wa kukifufua, sijui kiliishia wapi.Hivi kiwanda cha General Tyre Arusha kimeishia wapi?
Ngoja tusikilizie chuma chakavuJPM alikuwa na mpango wa kukifufua, sijui kiliishia wapi.
Ila General Tyre si ya kufufuliwa, inahitajika mitambo mipya na ya teknolojia ya kisasa.Ngoja tusikilizie chuma chakavu
Au utakuwa unasemea Boeing 747-800 yenye double decker.Siko technical sana katika maswala haya, ila nilichokuwa nina refer ni yale madege makubwa ya KLM yana pairs za tairi tatu kwenye kila mguu, tairi sita kwa ujumla katika kila mguu. Nadhani haya ndiyo Boeing MC Douglas