connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Mkuu mi napenda Sana kupanda pipa. Niliwahi kwenda Cape town kwa Ethiopian airlines (masaa 3 Dar-Addis then tukakwea Addis-Cape town masaa 5. Full misosi!Wabongo. Maskini kama wachawi vile,mtu kasimulia raha ya klm,mtu analeta ujuaji,
Ndege ni bonge la usafiri,ukisafiri kutoka Dar kwenda SA kupitia Ethiopia,Kuna Raha mazee,dar mpaka Ethiopia Kuna saa tatu,Ethiopia mpaka SA mwendo wa saa Tano na bonge la Ndege,Ethiopia airline.
Kirefu cha KLM ni nn mkuu?Ni sawa na kusema Dar Express bonge la basi, KLM ni shirika na siyo aina ya ndege, Bonge la ndege ulipaswa kutaja aina ya ndege uliopanda inayoendeshwa na Shirika la klm kama ni Air Bus (type gani), Boeing type gani nk. got it ?
Kirefu cha KLM ni nn mkuu?
Koninklijke Luchtvaart Maatschappij.Kirefu cha KLM ni nn mkuu?
Nilishasafiri na Emirates najua, mdogo wangu alishapata kadhia hiyo Feb tu hapa. Alienjoy Qatar wakati wa kurudi. Sijawahi kupanda KLM ila Office mates na ndugu wanatumia kila mara to US, UK na Germany na huwashawishi kutumia ndege nyingine. Ila ni ghali kidogo kuliko Emirates na Qatar
Akikujibu tujuzeKirefu cha KLM ni nn mkuu?
Mi nshapanda zote hizo, almost 3*each,
So I know ninachokisema, labda kama mambo yamebadilika kipindi hiki cha COVID -19, maana ndo sitatoka nje ya EA.
Mkuu una uhakika na ulichoandika?Halafu sasa ukute ni ile kitu inaitwa Boeing MC Douglass, nadhani ndiyo ile ina tairi tatu tatu kwenye miguu katika kila mguu. Kwa hilo dude, huyu unayemuona hapa ni cha mtoto
Business class napandaga Ethiopian airways Tu, natumia miles kuupgrade Tu business classInawezekana wameyumba labda, na i hope huongelei experience ya business class
Kweli wewe mshamba hili zigo mbona tunalo jro na Jnia kila siku 22:45 hadi 23:00?Majuzi nilipata mchongo wa kwenda US -Chicago. Wenyeji wakanikatia tiketi KLM aisee mzinga wa ndege. niwe mkweli Sijawahi kupanda ndege Kama ile. Japo enzi za fastjet niliwahi kwenda KIA na kurudi tu. Tembea uone. Ushamba tupa kule.
View attachment 2212929
Picha kudownload hizo mkuu?Picha za kudownload izo usitutishe.
Hujawahi kupanda hizi Royal airlines wewe, nimepanda Emirates, Etihad kipindi wanaanza kuja Dar, ila siku napanda KLM nilihisi hii ndio ndege sasa.Ndege ni za waarabu Tu,
Emirates, Qatar, Kwa mbali Etihad,
Hizi nyingine wanaforce king tu
Pipa la wanaojielewa hili. Mmeza ARV huingii humo
Asante SanaKoninklijke Luchtvaart Maatschappij.
KLM Royal Dutch Airlines
Tayari check hapo juuAkikujibu tujuze
Pipa la heshima hilo. Huwez kukuta wadangaji wanaoenda kuuza nyapu Dubai, China na India. Maana nauli yake mikasiAsante Sana