KLM Royal Dutch Airlines: Bonge la ndege

Nauli bei gani? Ilianzia safari wapi ..vituo ni wapi na wapi
Gani
 
Amstadam ni kama singidani
Nadhani kuna kipindi KQ waliwauzia shares pia. Hawa jamaa wana bahati kwamba uwanja wao wa Amsterdam Schiphol ni connection hub ya dunia nzima. Amsterdam ni kiwanja ambacho ndege za kuelekea karibia mahali popote duniani zipo


 
Hata ma bus , inshort tuseme kila kitu ni mfuko wako tu leo hii naweza agiza zhongtong climber yenye siti 1 by 1 au kawaida 2 by 2 leather seats
 
ulichoona ch ajabu amabacho hakipo Kenya/rwanda/South.A air ways ni nini??........ hayo sawa na ma bus tu! hkn jipya!
 
Yaani kutoka fastjet Hadi KLM ni sawa na ulitokea kupanda Toyota DCM zile za Mbagala Rangi 3 kwenda Kawe alafu upande Shabby luxury Dar to Dodoma. Lazima ushangae mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…