uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Ukiangalia uwanja wa kmc unaona kabisa ni KIWANJA kizuri na chenye standard nzuri ukuta na hata majukwaa na vyumba
Hii Inanipa sababu kabisa ya kuwaomba bodi ya ligi na tff mwakani kuwa team za ligi kuu zitumie
1.Uwanja wa Mkapa.
2.uwanja wa uhuru.
3.uwanja wa Azam
4.uwanja wa Mkwakwani(maana naona unaboreshwa sana )
5.kirumba (endapo pitch itaboreshwa ))
6.Kaitaba stadium (endapo itaboreshwa)
7.Majaliwa stadium
Hivi viwanja ni vingi sana na ni vizuri hakuna sababu ya Kutumia viwanja vibovu kama kile Cha Tabora ,Mbeya ,Dodoma,Singida,Morogoro(Simba walifungwa na mbangula hapa) ,Meja Isamwihyo na viwanja vingine vyote vibaya viachwe kabisa hadi pale vitakapofikia level ya kmc stadium na chamazi
Hii Inanipa sababu kabisa ya kuwaomba bodi ya ligi na tff mwakani kuwa team za ligi kuu zitumie
1.Uwanja wa Mkapa.
2.uwanja wa uhuru.
3.uwanja wa Azam
4.uwanja wa Mkwakwani(maana naona unaboreshwa sana )
5.kirumba (endapo pitch itaboreshwa ))
6.Kaitaba stadium (endapo itaboreshwa)
7.Majaliwa stadium
Hivi viwanja ni vingi sana na ni vizuri hakuna sababu ya Kutumia viwanja vibovu kama kile Cha Tabora ,Mbeya ,Dodoma,Singida,Morogoro(Simba walifungwa na mbangula hapa) ,Meja Isamwihyo na viwanja vingine vyote vibaya viachwe kabisa hadi pale vitakapofikia level ya kmc stadium na chamazi