KMC wanapaswa kupongezwa sana kwa kujenga KIWANJA kizuri Cha mpira

KMC wanapaswa kupongezwa sana kwa kujenga KIWANJA kizuri Cha mpira

Ali Hassan mwinyi kilikua na samaki wa mapambo mule pembeni,waliochoka kula matembele wakapita nao.
Namkumhuka mzee Gama aliyekuwa RC alikuwa mtu wa Boli sana, alijitoa na wana Tabora walijitoa! , viongozi wa sasa wameshindwa kukisimamia.
 
Hakuna haja ya kuwasifia KMC tujisifu sisi wenyewe kwa sababu hizo ni kodi zetu sisi wananchi wa Kinondoni ndo zimejenga hapo
Kinondoni municipal council ni watu na watu wenyewe ndio nyie na ndio tunaowapongeza Wana kinondoni wote kuanzia magomeni na viunga vyake hadi biafra na kawe
 
Siku hizi maktaba ni simu yako. Kitabu chochote ukikitaka unakipata
Kweli kabisa na unasoma popote hata kitandani kabla hujaamka unajipa maarifa kidogo unaenda room ya mtoto nae unamsomea hadithi yake Kisha unaenda mishe
 
Fountain Gates (Gwambina) Stadium pia kinafanyiwa marekebisho kwa kuweka nyasi bandia.
 
Siku hizi maktaba ni simu yako. Kitabu chochote ukikitaka unakipata

Kweli kabisa na unasoma popote hata kitandani kabla hujaamka unajipa maarifa kidogo unaenda room ya mtoto nae unamsomea hadithi yake Kisha unaenda mishe
Msiwe malimbukeni wa teknolojia kiasi cha kuhisi mnazijua kuliko waliozianzisha. Fikirieni kwa upana na urefu faida za kuwa na maktaba kila kata.
 
Msiwe malimbukeni wa teknolojia kiasi cha kuhisi mnazijua kuliko waliozianzisha. Fikirieni kwa upana na urefu faida za kuwa na maktaba kila kata.
Mbona we ndie unaonesha ulimbukeni braza mjadala uko katika lugha ya kawaida unaweza tumia lugha ya kawaida kuwasilisha mawazo yako
 
Fountain Gates (Gwambina) Stadium pia kinafanyiwa marekebisho kwa kuweka nyasi bandia.
Hii inaweza leta chachu na kuonekana picha nzuri kwenye luninga na kutangaza vema ligi yetu
 
Mbona we ndie unaonesha ulimbukeni braza mjadala uko katika lugha ya kawaida unaweza tumia lugha ya kawaida kuwasilisha mawazo yako
Mbona ulimbukeni ni neno la kawaida tu labda kama haufahamu tafsiri yake. Kupinga ujenzi wa maktaba tena kwa nchi kama hii ambayo wanafunzi wana uhaba wa vitabu mashuleni, kuna uhaba wa walimu na ukizingatia asilimia ambayo wazazi achilia mbali watoto wana simu janja na ufahamu wa wapi pa kupata hivyo vitabu, mko out of touch kabisa na uhalisia wa maisha ya Watanzania kusema wanafunzi wapakue vitabu online.

Na kama hamjui maktaba ni zaidi ya vitabu, kama ambavyo uwanja ni zaidi ya pitch. Kuna mambo mengi yenye faida yanaweza kufanyika katika mazingira ya maktaba kuanzia mafunzo ya ziada ya ujuzi ambayo wanafunzi hawayapati mashuleni kwa sababu hayapo katika silabasi zao, discussions kati ya wanafunzi wenyewe, mafunzo ya ziada yaani tuition, nk.
 
Mbona ulimbukeni ni neno la kawaida tu labda kama haufahamu tafsiri yake. Kupinga ujenzi wa maktaba tena kwa nchi kama hii ambayo wanafunzi wana uhaba wa vitabu mashuleni, kuna uhaba wa walimu na ukizingatia asilimia ambayo wazazi achilia mbali watoto wana simu janja na ufahamu wa wapi pa kupata hivyo vitabu, mko out of touch kabisa na uhalisia wa maisha ya Watanzania kusema wanafunzi wapakue vitabu online.

Na kama hamjui maktaba ni zaidi ya vitabu, kama ambavyo uwanja ni zaidi ya pitch. Kuna mambo mengi yenye faida yanaweza kufanyika katika mazingira ya maktaba kuanzia mafunzo ya ziada ya ujuzi ambayo wanafunzi hawayapati mashuleni kwa sababu hayapo katika silabasi zao, discussions kati ya wanafunzi wenyewe, mafunzo ya ziada yaani tuition, nk.
Umeshinda
 
Kwa mujibu wa Khalid Chukuchuku afisa habari wa KMC ni kwamba huo uwanja ni wa halmashauri ya manispaa ya Kinondoni na kmc ananufaika nao tu kwa kuwa ni timu inayomilikiwa na manispaa husika
 
Nilikwambia huo uwanja ni mdogo sana kulinganisha na eneo lililopo na mahitaji yake.
 

Attachments

  • KMC.jpg
    KMC.jpg
    175 KB · Views: 7
Back
Top Bottom