KMT Wiki Hii Msajili wa Vyama, Jaji Mutungi, Father Kitima, Balozi Amina Salum Ali, Ismail Jussa, Mjengwa, Selasini, Kibamba, Cheyo Waunguruma!.

Nimesikiliza sijaona jipya, kilichopitishwa bungeni na story hizi ni vitu viwili tofauti kabisa
Angalia hoja za kipindi
Je sasa umeelewa kitu?.
P
 
Sijawahi,
Ili ufaidike vizuri zaidi na JF, likiletwa jambo ambalo hulijui, take advantage ya kujifunza!.

1. Hiki ni kipindi cha Vox Pop
2. Vox Pop ni sauti za watu
3. Vox Populi is Vox Dei maana yake sauti za wengi ni sauti ya Mungu.
4. Kauli huumba. Kipindi kinakusanya kauli za watu ili kuumba kile watu wanachokitaka.
5. Pia nikaweka na angalizo, wasiposikilizwa what will happen.

Hayo ni maoni ya watu sio lazima mimi au wewe nikubaliane nao, kitu muhimu ni sauti zao zimesikika.
P
 
Changamoto una wahoji makada wa CCM pekee, kuwa huru uoji wananchi ambao wanapata tabu na huu utawala mbovu
 
kwanini mkuu kipindi chako kinakusanya chawa pekee?
Sii kweli, Tanzania tuna vyama 19, nimewahoji vyama mbalimbali, isipokuwa Chadema kwasababu walisusa! Kuna watu wasipo waona Chadema, wanawaona wengine wote kama machawa!. Vipindi vijavyo nitawahusisha na Chadema.
P
 
Changamoto una wahoji makada wa CCM pekee, kuwa huru uoji wananchi ambao wanapata tabu na huu utawala mbovu
Sii kweli!.
Hawa ni makada wa CCM?.

View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=q0K9ApWRMuLw0SDK
View: https://youtu.be/U2sP1sh3Si8?si=MFmfQQMtRJSDLp0I
View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=vRsyi06aJqsDeDli
View: https://youtu.be/YLjwcGPwzO8?si=UScVaBu_Bm3NcdIl
View: https://youtu.be/cHxuVN8njWM?si=m_TnqUx8ZAAXPhO3Naweza kuendelea hadi 100!.
Kuna miss conception upinzani Tanzania ni Chadema tuu, bila Chadema, waliobaki wote ni CCMB!, this is wrong!.
P
 
mi nataka uendeshe mdahalo wa wazi uhusishe akina Lissu, Kinana, Mnyika, Nchimbi n.k ambao wanaweza kushindana kwa hoja
Huu ni ushauri mzuri, utafanyiwa kazi, but this something else, kipindi changu ni Vox pop, mdahalo ni something else, tujifunze to appreciate the little ili tuje kupatiwa the abundance!. Mimi naendesha Vox Pop, appreciate the Vox Pop wakati ukisubira mdahalo.
P
 
Mkuu serious hawa ni wapinzani? umewahi kuwasikia CCM hata siku moja wanawasema kama CHADEMA? tuache utani basi mkuu
 
Huwezi kuendesha ukiwa CHANNEL 10
 
Mimi naendesha vipindi, TBC, ITV, Azam TV, Clouds TV, ZBC, Star TV, TVE, na Wasafi, hivyo mdahalo huo unaweza kuendeshewa TV yoyote sio lazima Channel Ten.
P
Nashauri huo mdahalo ili uwe huru zaidi wachokoza mada wawe Dotto Buledu au Chief Odemba(Star TV) ni watu ambao hawana uchawa wala uoga wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…