Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Ndiye huyu sasa!Ukifika Tabora karibu sana Urambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la Black mamba ye hajui kama unafanya usamaria unampeleka kwenye makazi yake.Kwanini mmemuua? Mgempeleka kwenye msitu
yule jamaa ni noma japo anapataga ajali piaYule mwamba wa snake in the city huwa anawakamata kilaini kabisa.
Kwa akili za wabongo huyu nyoka amepondwa sana na mawe
hii kamba mzee mwenzanguSiku moja tulikuwa site maporini huko tunafanya survey, ghafla tukakutana naye
Bahati nzuri tulikuwa na Wazee Fulani wa Kimila, walitema mate Chini ghafla yule Koboko akageuza njia haraka kutupisha na kutokomea maporini zaidi 🙌
Sijui kama alikuwa ni Koboko mtu ama Koboko kweli ila baada ya kutema mate wale Wazee yule Koboko aliondoka mwenyewe bila kutudhuru.hii kamba mzee mwenzangu
Mkuu akili zetu hapo ndipo zinawaza na kuishia.Kwa akili za wabongo huyu nyoka amepondwa sana na mawe na magongo
Mkuu basi tupe mawazo yako angefanywaje huyu ?Kwa akili za wabongo huyu nyoka amepondwa sana na mawe na magongo
Kuamkamata hyu ipo kaziMkuu akili zetu hapo ndipo zinawaza na kuishia.
Yule jamaa anambinu kali sana anavyowakamata hawa viumbe.
Hao viumbe anaweza kujipunguza akawa mwembamba mrefu akapita sshemu yoyote.Mkuu sema hii mashine heavy siunaona ni zaidi ya. Mita 10 huyo
Kuamkamata hyu ipo kazi
Tuje urambo kwenye koboko? No thank u SirNdiye huyu sasa!Ukifika Tabora karibu sana Urambo
Alafu upigaji wake anacheza maeneo ya shingoni kwenda juu ndio balaa lake 😀Hao viumbe anaweza kujipunguza akawa mwembamba mrefu akapita sshemu yoyote.
cheza mbali na hao viumbe.
Hana utani huyo mkuu watu wachache hamuwezi mziki wake!Alafu upigaji wake anacheza maeneo ya shingoni kwenda juu ndio balaa lake 😀
Angeachwa zake zakeMkuu basi tupe mawazo yako angefanywaje huyu ?
Mkuu sina nia mbaya ila nataka kukuuliza kwamba hii ni akiri yako kweli au swaumu/kwaresima imekuweka vibaya?Kwanini mmemuua? Mgempeleka kwenye msitu