Koboko aka Black Mamba

Koboko aka Black Mamba

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
445
Reaction score
1,094
Ndiye huyu sasa!Ukifika Tabora karibu sana Urambo.

FB_IMG_1711394765875.jpg
 
Linatisha hili dubwana, afu ni mkubwa kweli.
Kumbe tz yapo haya madude.

Najaribu kufikiria wamemuuaje huyu deadly snake mkubwa kiasi hiki maana hata mtu mwenye skills kwa mazingira na ukubwa wake huyu kiumbe nadhani angemtoa jasho.
 
Yule mwamba wa snake in the city huwa anawakamata kilaini kabisa. Katika maisha yangu ya utoto ya kwenda vichakani na kupanda mikorosho nilishawahi kukutana na green mamba mwenye ukubwa unaolingana na huu.


Kwa akili za wabongo huyu nyoka amepondwa sana na mawe na magongo
 
Siku moja tulikuwa site maporini huko tunafanya survey, ghafla tukakutana naye

Bahati nzuri tulikuwa na Wazee Fulani wa Kimila, walitema mate Chini ghafla yule Koboko akageuza njia haraka kutupisha na kutokomea maporini zaidi 🙌
 
Back
Top Bottom