Nguchiro na honey badger ni tofauti, honey badger ndio nyegereNakumbuka na mimi niliona kipindi kinacho fanana na hicho ulichoona wewe battle ilikuwa ya haja!! Utofauti ni kuwa Mamba alikang'ata mara nyingi nyingi sana.
Kutokana na Majeraha Mamba alikufa ila alishakaingizia sumu ya kutosha kalizima kwa muda halafu kikaamka tena kikamla Mamba kiroho safi kabisa.
Hivi kuna tofauti kati ya nguchiro na Nyegele? (Honey badger) Kwa sababu ile niliyoona mimi ilikuwa Mamba vs Honey badger.
Ni kweli,ila unaweza kutoa taarifa wakaja wakamtibuatoa taarifa bro ase uyu mdudu ni shigidy japo Mungu anatulinda
Asante kwa ufafanuziKuna Nyoka wa aina nyingi sana,kuna wengine wanang'ata bila kudunga sumu,kuna wenye mild venom,kuna dry bite, na kuna wengine sumu yao ni inaitwa two steps to death..guess what huyo ndio Koboko.
OK safiKweli tangu uzi umeeanza kila mmoja anawaza kufa kufa tu
Lakini hakuna aliejaribu kutoa njia za kujisaidia pindi tunapopata masaibu haya.
Kwanza wapo nyoka zaidi ya aina 300 Tanzania na wengi hawana sumu, ili kujua mtu kaumwa na nyoka mwenye sumu utaona alama mbili hizo ni fangs ujue hapo sumu imeingia.
Na sumu zinatofautiana kwa kuushambulia mwili
Hapo kwanza usipoteze muda wa kuanza kumkimbiza nyoka ila shughulika na majeruhi kwanza, mlaze vizuri na mpe faraja awe calm kwani aki panic sumu inatambaa upesi zaidi
Ni vizuri kama una kitambaa umfunge juu ya jeraha (usikaze sana) ni kuzuia sumu isipande kwenye moyo haraka.
Usijaribu kupasua kwa wembe au kisu sehemu ya jeraha wala kuweka maji au barafu.
Na pia kuna wengine huwa wanaomba pombe kama ni mlevi usimpe hata kama akikuambia roho inachomoka nipe nipunguze maumivu. Usimkubalie kabisa kwani pombe na sumu haviendani.
Tafuta usafiri haraka na kumpeleka hospital au kwa wengine wapo wataalamu
Sumu ya koboko inauwa lakini inatibika pia wakiwahi kwa dawa na kama siku zako bado kwa tunaoamini
Vingine ushirikinaDuh,
Hapo ndo kila MTU alibak mdomo wazi.
Afu cha kushangza pale kitandan
alilala jamaa, mkewe na mtoto wao mchanga wa mwaka 1.
Ila ajabu ni kua mama&mtoto wake waliamka salama salmini.
Kifutu hashambulii binadamu hadi umkanyage kwa bahati mbaya. Tena akikuona unamkaribia anafoka kukupa tahadhari tu.Na kweli kifutu mvivu unaweza ukamsogeza kwa mguu hahahaha
Wewe haupo sahihi kuhusu kumchezea nyuma kifutu.Mkuu huyo nyoka na mjua vizuri sana nimesoma uko tabora boys wapo wengi tu akisikia binadam anajongea sehem alipo hua anafoka kukujulisha nipo maeneo haya so usimzuru na unaweza pishana nae bila tatizo lolote.sisi tulikua tukiona ana vuka barabara tuna mchezea kwa kumvuta nyuma alipo toka anaishia kufoka tu ila hiyo mashine nyingine ilishawahi kuzingua watu makabulini akuna aliye baki nahisi ata marehem asinge kua ndani ya jeneza angekimbia
Ni vizuri uandike wosia kwanza kabla ya kuanza kufanya hiyo kaziNataka niwe mjuzi wa wakushika hawa wadudu, tz chuo gami kinafundisha?
Ni kweli,ila unaweza kutoa taarifa wakaja wakamtibua
na wasifanikiwe kumuua ikawa balaa kijijini.
mmmh kwel bolt mita mia kwa sekunde kadhaa uyu hakamatHuyu koboko unaambiwa hakuna wakumgusa kwa mbio hata husein bolt akasome
Haha acha uoga mkuuNi vizuri uandike wosia kwanza kabla ya kuanza kufanya hiyo kazi
Koboko wanapogombana na mmoja akazima,aliebaki uwa kuna majani anaenda anayatafuna na kuja kumwekea mwenzie aliezima ili aamke waendelee na mtanange...sema anapoenda kuyafata hayo majani huwa makini asionekane na mtu,kwasababu nasikia ni dawa pia kwa binadamu akiumwa na koboko.
Koboko sio mgomvi kiivo sana labda awe kajeruhiwa.nimefanya kazi chunya kipindi fulani huko nyuma,getini kuingilia ofisini kwa pembeni kuna kichuguu anaishi,mkubwa kabisa.saa 5 hivi anatoka kwenda kula kaya na kabda jua alijazama anarudi jicho nyanya.Sema usikae kwenye njia yake kwasababu habadili njia.
Koboko ni mtemi sana,ukikutana nae akasimama tulia tuli,huku ukiomba sala zako...atakutizama wee baadae akikuona we boya tu anashuka chini anasepa sema inataka moyo macho yake kama yanawaka moto kumtizama hasa akitoka kula jani pendwa.
Hivi kwani hizo mita mia anazotumia si ndio max speed kumbuka yeye anatumia misuli na oxygen hivyo kama ni max speed tegemea itapungua tuu ni tofauti na chombo cha moto, ata kama anatumia sec kadhaa je anauwezo wa kumantain speed hiyo hiyo kwa mita ata 500 kama itatokea amekimbizwa na nyoka?mmmh kwel bolt mita mia kwa sekunde kadhaa uyu hakamat
Haha acha kabisa uyo mdudu ata tukiua nikimshika na mjiti huwa bado nasisimka kwa ile ngozi yake ilivyo siweziNaona kwa mwezi huwezi kamata Cobra aliyeshiba I mean lile kubwa
Hapo naona utaishia jamii ya nyoka tu hahaha just kidding
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] green mambaYupo snake park Bagamoyo, black mamba, green mamba, puff adder, chatu, na wengine nimewasahau. Huyo green mamba yeye anaitwa nyoka mbea zaidi. Akiona kijiwe cha watu wanapiga story, naye anakuja anakaa karibu kusikiliza. Mara kadhaa hujisahau na kuanguka, hapo ndipo tafrani hutokea, kila mtu na njia yake.
Hivi kwani hizo mita mia anazotumia si ndio max speed kumbuka yeye anatumia misuli na oxygen hivyo kama ni max speed tegemea itapungua tuu ni tofauti na chombo cha moto, ata kama anatumia sec kadhaa je anauwezo wa kumantain speed hiyo hiyo kwa mita ata 500 kama itatokea amekimbizwa na nyoka?
Yale ni mashindano mi siamini kama binadamu anaweza maintain maximum speed yake kwa umbali wa zaidi ya mita 100 hapo ni lazima agongwe tuu