Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Huyu ni moja kati ya nyoka hatari zaidi duniani, pia ameusika kwenye vifo vingi vinavyohusishwa na nyoka. Kwa jina la kimombo ni "black mamba" sumu yake inashambulia mfumo wa Neva uchukuwa takribani dakika 10 kumuua binadamu. Huyu nyoka anaweza kufikia urefu wa mita 3 Yani futi 9 na inch 10. Ana uwezo wa kurudia kung'ata zaidi ya mara moja. Kwa hapa Tanzania wanapatikana sana mkoa wa Tabora na mikoa mengine yenye Hali ya joto joto. Anaweza kuwa na rangi ya brown na grey, jina la black mamba ni kutokana na ndani ya mdomo wake kuwa na rangi nyeusi. Hatari sana huyu nyoka ukimuona pita mbali sana usijaribu kupambana nae Wala usitumie fimbo kabisa..!!
 
Thread gani hizi usiku huu na umeme hakuna
 
Kitu km hujui bora unyamaze..koboko alivyo na unavyomtaja ni tofauti kbs.rudi kasome articles zake then uje ku edit
 
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Sema ni vile tu wanaadam mna nongwa sana. Mbonna msela yupo pisi sana. Kama hapo anajipungia zake upepo tu.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…