Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

DAH koboko dude HATARI SANA kama CCM ya jiwe
 
Wewe huo muda wa kuzuga unatoka wapi wakat uho akili ishakutumuma kimbia haraka sana
Na unatakiwa ukimbie kwa adabu. Maana lilivyo na akili ya kiidikteta linaweza kudhani unakimbia kwenda kuchukua silaha... Basi linakufukuza kukushughulikoa

Kesho majirani wanakuwa wanafunga maturubai huku wengjne wakisema umeumaliza mwendo, vita umevishinda.... wengine wakisema Mungu amekupenda zaidi
 
Haoana mkuu mimi sioendi tembea porini wala sehemu nikihisi kuna nyoka umhuwa natembea kwa adabu sna
 
Nilisikia habari zake nikamfuatilia kwenye documentaries... We ogopa kitu unakiangalia kwenye screen lakini unahisi kiko pembeni yako.

Senge lina kisirani na kisasi cha ajabu. Afu sumu yake linaweza kuua mtu hata 10 keimamae zake...
Hahahaa aisee
 
Very quick in reacting, quick in escaping and arrogant!

Linaonekana la kawaida lakini huwa halina muda wa kumheshimu mpinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…