Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

mkuu Super H huyu kahtaan yupo chini ya intensive evestigation achana nae kabisa usijehusishwa na ugaidi.. Mimi sikuhizi hata anai'mention vipi huwa nampotezea..
via taarifa za kiintelejensia.

unanipotezea Ungeandika Jina Langu?

teh teh teh,:becky::becky:

we mnyonga viuno upungufu wako wa fahamu unakufanya mpaka unasahau kuwa km mimi nikihitajika Uongozi wa JF wanajua wapi nilipo.
sasa wewe kwa kukosa Elimu unadhani watu wote ni kima km wewe unaedhani ukiwa nyuma ya computer basi hakuna wa kukuona.

We endelea kunyonga kiuno, ubovu wa sura yako huwezi kupata basha, labda Matola
 
Last edited by a moderator:
wewe mwenyewe upo under target.

nini maana ya under target? au umeona raha tu kutumia maneno ya kiingereza bila kujua maana yake.

teh teh teh.

unanyonga kiuno wakati tako lenyewe gumu ka kichwa cha Matola
 
acha na huyo tupo tunamchunguza

Leo umeacha umachinga umeshaingia kwenye Usalama wa taifa!

Dah..
Hii sio mchezo.
Naomba jina la Padri aliyekuombea nimpe Matola. Manake yeye umemuacha bado anauza Leso pale uwanja wa karume we mwenzake uko MAKAO MAKUU YA USALAMA WA TAIFA.

Teh teh teh.

Mtoto nyodo zitakuponza.
 
Last edited by a moderator:
hebu wataje wanaozurura humu jamvini ha ha ha ha ha ha ha ha ha


Mkuu Super H kumbe ba wewe unamjua huyu kima ee!?

Anakatiza mitaani km kibajaji.
Hawa ndio wa kuwapeleka huko porini km Chambo! Tena huyu mnyonga viuno safi sana. Baada ya kazi jioni mnamwambia Awachezee kadogoli kidogo. Anatikisa makalio Mnapata Burdani ya Buree na akitokea nyoka ghafla unamsukumia tu.

Hawana Faida hawa hata kidogo huku mjini. Bora hata ya wale mbuzi wa Vingunguti.
 
Last edited by a moderator:
Sasa km maoni yangu yamekuondolea Stress unaona tabu gani kugonga "like"?
Mbona wabongo mabakhili sana hata kwenye kushukuru!
Dah!

Daah Mkuu kahtaan umenichekesha sana. Shukran kwa kuwa wengi tunanufaika
 
Last edited by a moderator:
Asante my ex wangu Remote.

Kumbe we ulishawahi kutafunana na huyu Paka!
Dah..
We ndio umevunja Heshima yako kabisaaa.

Unaruhusu Vimburu wa namna hii kukugusa?
Thats soo cheap missy.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Super H kumbe ba wewe unamjua huyu kima ee!?

Anakatiza mitaani km kibajaji.
Hawa ndio wa kuwapeleka huko porini km Chambo! Tena huyu mnyonga viuno safi sana. Baada ya kazi jioni mnamwambia Awachezee kadogoli kidogo. Anatikisa makalio Mnapata Burdani ya Buree na akitokea nyoka ghafla unamsukumia tu.

Hawana Faida hawa hata kidogo huku mjini. Bora hata ya wale mbuzi wa Vingunguti.

Mkuu umenichekesha sana!
 
Last edited by a moderator:
Huyu mdudu namtafuta sana nimfuge home. Nilifuga mbwa wakamuua sasa nataka hii kitu kwa ajili ya ulinzi shirikishi, nisaidieni nampata wapi. Nikipsta kama 5 hivi itakuwa poa
 
Mmmhhhhhhh 1.5m kilo 3????? Huyo si atakuwa na Size ya Bi-ceps ya mtu mzima? Mbona alikuwa menene sana?

kweli kwa urefu huo 3kg ni kubwa sana ukizingatia Koboko ni mwembamba kiasi Fulani.
 
mmeshinda jamani maana huenda kuna wahasibu na ma engeneer sasa ni ngumu kuelewana.unaposema puff adder ni vipers ni sawa useme "mwanamke ni mwanaume".. ila kwakua hukubali basi endelea kujua unalofaham baba, lakini jifunze bado una mda.. naona daktari anaweza kukupa dozi na bado ukambishia ukataka dozi yako kaka.

Kaka unakosea huyo Puff Ader ni Kifutu ama jina jingine la hiyo specie ni Bitis Arietans,

Hao Puff Ader ni wanene sana na huyo Black mamba ni mwembamba mrefu kama mtoa mada alivyosema, Rudi kwenye vitabu kuna msamiati kidogo tu unaokuchanganya.
 
Red Giant, (my two cents) asante kwa elimu ila naomba utofautishe mambo manne ya kuzingatia kuhusu kiumbe nyoka. Kuna tofauti kidogo kati ya;

  1. The most dangerous snake (wa hatari zaidi)
  2. The most feared snake (wa kuogopwa zaidi)
  3. The most deadly snake (anayeua zaidi)
  4. The most venomous snake (mwenye sumu kali zaidi)
Huyu hapa chini ndiye nyoka anayeongoza kwa kuwa na sumu kali zaidi duniani;


3.bmp


Aipysurus dubosii (Dubois' seasnake), its venom is enough to kill 49 men! They have medium aggressiveness and will only bite if provoked, but not spontaneously.

Nachoamini ni kwamba hizi research za wanasayansi zinapishana sana, Wanasema Black Mamba ni the most deadliest kutokana na record yake ambayo haijavunjwa na nyoka yeyote hapa duniani ya kuua.

Ila kwa miaka ya baadae akitokea nyoka mwingine ambaye tulikua tunamdharau akaua watu wengi kwa mkupuo kuzidi koboko basi mtamsikia tu National Geograophic kwamba ndiye deadlist snake duniani.

Unachosema ni kweli kwamba kuna nyoka wengi wanasumu kali sana kuliko huyo Koboko ila hawako na hasira za karibu hivyo kutofanya mashambulio ya kuua na ikitokea wakaua basi sio watu wengi.
 
Leo umeacha umachinga umeshaingia kwenye Usalama wa taifa!

Dah..
Hii sio mchezo.
Naomba jina la Padri aliyekuombea nimpe Matola. Manake yeye umemuacha bado anauza Leso pale uwanja wa karume we mwenzake uko MAKAO MAKUU YA USALAMA WA TAIFA.

Teh teh teh.

Mtoto nyodo zitakuponza.

Ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
Hilo lilikuwa ni joka la kisra, majoka haya ya mibuyuni ni majoka ya karne,huwa mekundu kwa juu!yana sumu kali sana!ni kama mizimu
UMENITISHA MKUU! na ninakubaliana na wewe mia mia. maana kwa mwonekano tuh.. anatisha
 
Back
Top Bottom