Hata tai anawala sanaNyoka wengi hua wana aibu na huwa wa kwanza kuretreat unless wawe cornered, koboko hajui kuretreat, ana accuracy, speed na bado yeye ndiyo ataanzisha ugomvi.
Iwe iwavyo ninachojua hachomoki mbele ya honey badger.
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseeIla Koboko mwenye hasira akikubananiza, ukimuimbia ule wimbo Sina makosa wa Les Wanyika anakuacha.
Hakuna mchawi anayeweza kujigeuza koboko muulize hata Mshana jrImani tu, lazma watakuwa koboko watu
Nilishuhudia msukuma 1 akilia kuliko msibani baada ya ng'ombe wake kama 50 wakidondoka, anatahamaki anamuona koboko kasimama halafu akasepa speed ya mwanga wa radi, ilikuwa ni maeneo ya wilaya urambo njia ya kwenda ulyankuluKoboko ni Black Mamba... Huyu nyoka akiingia darasani akiwakuta wanafunzi dakika tano wamekauka..
Tofauti ya simba na chui ukikutana nao ukipiga kelele wanakimbia...
Koboko ukim provoke imekula kwako...
Wafugaji wakisikia pori lina koboko wana hama..
Unamaanisha nini unaposema wa darView attachment 766068
Kifutu akikung'ata huyu unaanza kuoza,lakini kwa Koboko huyu anakuwa wa Dar.
Nasikia nyoka wa Dar ni waoga hata kung'ata.Unamaanisha nini unaposema wa dar
Mbona huyu nyoka anaonekana mzito....anaSpeed kweli ya kugonga!
Aaanhaa kwhyo huwa yupo kwenye mawindo yake eeh!Asilimia kubwa ya watu hugongwa wakipita chocho,ambazo panya pia hupita.
Mmmh ya kweli haya chief?Hahaha nyoka anasikia ila siyo kama sisi tunavyosikia isipokua yeye anasikia vibrations so akiona hizi vibrations ni za ule wimbo wake anakuachia
Ndio maana ni bingwa wa "ambush"nimeona alivyomng'ata faru mmoja yule faru mguu ulikuwa unaoza huku anauona.Mbona huyu nyoka anaonekana mzito....anaSpeed kweli ya kugonga!
hapangiwi huyo hahahaKuna nyoka wanafiki sana, sasa huko anaenda wapi?
Huyu tembea yake huwa kama kinyonga tatizo usije mkanyaga, ila niliwahi ona akitoka mbio kuliko koboko tulipokuwa tunachoma rundo la majani kumbe alikuwemo, alitoka speed kali utadhani msafara wa magu vijijini, halafu kinyonga nae huwa maringo nishakuta kinyonga akienda speed ya mjusi akikimbia moto uliokuwa unachoma msitu,Mbona huyu nyoka anaonekana mzito....anaSpeed kweli ya kugonga!
Walimuua huyo kobokoBasi lililokimbizwa na koboko kutoka Urambo mpaka Mboka Manyema hili hapa.
TaipanNyoka hatari na sumu kali duniani wapo Australia.
Walipokaribia Town akageuza zake Urambo.Walimuua huyo koboko
Hahaha, mkuu utakuwa mwenyeji wa tabora mkuu, mitaa ganiTai alifikiri ni Swila akakutana na koboko akagongwa huku amekumbatiwa njaa bhana!View attachment 766418
Kumbe koboko ndio huyo black mamba?NI NYOKA WENYE SUMU KUBWA SANA,MFANO TUU BLACK MAMBA AMBAYE HUKU NDIO TUNAMWITA KOBOKO ANAUWEZO WA KUKUGONGA MARA 120 BILA KUCHOKA WALA KUPUNGUZA KIWANGO CHA SUMU ANAYOTEMA KILA ANAPOKUGONGA,SUMU AMBAYO INAKWENDA KUHARIBU NEVA ZA FAHAMU,PIA CHEMBE ZA KUGANDISHA DAMU ILI USITOKE KWENYE JERAHA YAANI PLATELETS HUWA HAZIWEZI ZUIA DAMU ISIACHE KUTOKA,NA PIA HUATHIRI MFUMO MZIMA WA DAMU,NI NYOKA HATARI SANA,