Kina mfipa 1 tabora anawaua sana na ni bwana mdogo tu, tulipokuwa wadogo niliwahi sikia story kuwa kama ukitaka muua nyoka mwanamke ashike matiti na mwanaume ashike magoti mwingine awe anampiga nyoka anakuwa hakimbii, anabiringita hapo hapo, niliwahi iona hii ukerewe nikiwa nalima na bibi na kweli nilimuua kifutu huku bibi akiwa ameshika matiti, huwa mpaka leo najiuliza wanaposhika hivyo kuna logic yoyote na inafanya kaziHao jamaa ni hatari sana, lakini kuna watu wanawakamata kama kuku, hata akiingia ndani ya shimo wanachimba na kumtoa
Tatizo wengi humu ni wanaume wa Dar wanaogopa hata mendeTutakupoteza siku nyingine mkuu cheza na wengine sio koboko.
Kunamti ukiweka ndani Huyo jamaa hakai, pia kunadhana iliyojengeka ndani kwa baadhi ya makabila kuwa mwanamke akiingia maziwa nyoka hakimbii lakini hainaukwel nisawa na kuambiwa wakati wa kupiga penati akitokea mchezaji wa tim pizani akashika pumbu zake, mpira hautaenda gorinKina mfipa 1 tabora anawaua sana na ni bwana mdogo tu, tulipokuwa wadogo niliwahi sikia story kuwa kama ukitaka muua nyoka mwanamke ashike matiti na mwanaume ashike magoti mwingine awe anampiga nyoka anakuwa hakimbii, anabiringita hapo hapo, niliwahi iona hii ukerewe nikiwa nalima na bibi na kweli nilimuua kifutu huku bibi akiwa ameshika matiti, huwa mpaka leo najiuliza wanaposhika hivyo kuna logic yoyote na inafanya kazi
Kila mbabe ana mbabe wakeKiboko yao honey Baja
Niliiona zamani sikumbuki sanaUnakumbuka aliping'atwa alivyoguna.
Hahahhahaa, ila kuna mwaka flan morogoro tukiwa tunalima na baba yangu mdogo mume wa mama yangu mdogo, sasa wakat analima ghafla kifutu kakimbia, da! Baba mdogo alisikitika sana huku akisema""HUU NI MKOSI, LAZIMA NITAPATA TAARIFA ZA MSIBA KUTOKA MAHALI" "unafikir ilichukua hata masaaa matatu katumwa mshenga kutoka mbali kwelkweli kwamba ndugu yao muhimu kafarikiUnamkosea heshima.
Puff ader ametoka kuzaliwa sasa hivi na sasa hivi akikung'ata ujue ndiyo safari hiyo.
Ana camouflage nzuri sana inayomsaidia mawindoni, huko kutulia unakokusema ni sehemu ya mbinu za akiwa mawindoni.
Force anayotoka nayo ili kushambulia windo inatosha kuua windo hata bila kutumia sumu.
Nadhani ilikunjwa katika miaka ya tisini muanzoni huko Serengeti nitajaribu uitafuta lakini.Niliiona zamani sikumbuki sana
Una clip hiyo?
Huwa ni mpenzi wa NG sana
Asante kwa video yakoMuwinda huwindwa, hapa tai alimchanganya koboko na nyoka mwingine akagongwa, koboko hakuachia mpaka chui alipotia timu chi nae akapiga kwenzi.
Ni Nguchiro huyo kwa kiswahiliAsante kwa video yako
kiboko ya black mamba na cobra Ni kamnyama kadogo kanaitwa mongoose sijui kiswahili anaitwaje.
wakikutana porini mongoose lazima amuuwe cobra/black mamba au nyoka yoyote mwenye sumu kali nyoka haponi kabisa.
kama Una ranch yako ukifuga hawa wanyama hutaona nyoka akisogea kwako.
Ni kamnyama kana kasi Sana damu yake inavumilia sumu za nyoka halafu anamchokesha kwanza nyoka kama Mohamed Ali anavyokwepa ngumi za mpinzani kabla ya kurusha yake ya KO.
moongose akishamchokesha nyoka kwa kukwepa kila nyoka akiruka kugonga anamrukia nyoka kwa kasi ya ajabu na kumng'ata eneo la Shingo kwa meno yake makali Sana na kuvunja uti WA mgongo WA nyoka hapo tena nyoka Hana ujanja anakuwa chakula ya mongoose
black mamba na cobra Ni kamnyama kadogo kanaitwa mongoose
Hivi hayo madhara hadi vidole kukatika endapo alieng'atwa akiwahi tiba bado ataendelea kuoza?Kama una watoto wadogo ukimuona kifutu puff adder ni bora kumuua tu kwa sababu watoto hupenda kuwashika vifutu huyu mtoto ameng'atwa kwenye mkono.View attachment 767745
Duu nimeionaWanaosemaga kuwa koboko akikuona huwa anakimbia angalia hii video anavyo wapigia hesabu hawa mapark rangers,huyo aliyekuwa na kamera imebidi aache kurekodi baada Kiboko kuwachenjia kibao.
View attachment 767760
Nasty boy.
Khaa!! Yaani ndo Koboko mwenyewe huyu?! Mi nilidhani ni lijijoka flani hivi linatisha ile mbaya!Puff adder ni kifutu ambae ni mfupi na wanauwa sana kuliko hata koboko
Koboko ndio huyu wanaogopa hata kumtaja jina na ndio huyu black mambas
Huyu hapa anaezungumziwa
Hebu msome kidogo View attachment 766058
Mtu aking'atwa na akawahi kudungwa anti venom haraka huo uharibifu wa nyama unakuwa mdogo.Hivi hayo madhara hadi vidole kukatika endapo alieng'atwa akiwahi tiba bado ataendelea kuoza?
Hao nyoka wanavichaaaa, maana ukimbize basi lenye abiria, huo ukichaaa aliopitilizaKoboko alishawahi kukimbiza basi lililojaa abiria kutoka Urambo mpaka karibu na Mboka.
Asilimia kubwa ya watu hugongwa wakipita chocho,ambazo panya pia hupita.
Ahsante!! Unafanya masihara na Simba nini!! Kuna mdau hapo kadai aliua Koboko kwa mundu; sasa mbele ya mzee simba sidhani hata kama huo mundu wenyewe mdau angeweza kuuinua!Hizo ni figure of speech tu !una asilimia 99 ya kushinda vita dhidi ya nyoka wakati una less than 10% au no chance at all kushinda vita dhidi ya simba na chui