Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Samahani sijui ushaangalia kipindi cha snakes in the city ? Nat Geo ?

Mbona yule jamaa huwa anawashika black mamba kirahisi tu hata awe aggressive au wounded ?

Mnaposema Mamba huwa yeye anaanzisha tu vita vyovyote vile napata wakati mgumu kuwaelewa
Sijaangalia.

Lakini soon utanitajia na watu ambao miili yao ni venom resistant.

Ishu ni hivi...

Anaconda akiona majani yanacheza cheza ataretreat, same kwa common krait, cobra, copperhead etc. Black mamba akiona hivyo atabaki ajue kuna nini au atanyanyuka na kufuata huo uchezaji.
 
Huko Dubai kwenye mbio za Ngamia siku hizi wanapandisha wanasesere baada ya wale wapandaji waliokuwa wakiwachapa ngamia ili wakimbie kuviziwa na kupigwa na ngamia hao..
Kuna kitabu nilisoma ila sina kumbukumbu vzr ni kitabu gani kilikua kinamuelezea Ngamia kua ndio mnyama mwenye uwezo wa kutunza kumbukumbu muda mrefu kuliko mnyama yoyote.
 
Nilimsikia mkamata nyoka anasema Black Mamba kabla hajakung'ata anakupa tahadhari!! Sasa maelezo ya humu yako mchanganyiko sana.

Wengine wanasema Koboko ni mshari hata kama hujamchokoza atakufata akung'ate.
Mkuu achana na maneno ya hapa huyo nyoka akigundua ameonwa anatafuta upenyo anakimbia mapema,akibananishwa ndio anakuwa balaa.
 

Wanaosemaga kuwa koboko akikuona huwa anakimbia angalia hii video anavyo wapigia hesabu hawa mapark rangers,huyo aliyekuwa na kamera imebidi aache kurekodi baada Kiboko kuwachenjia kibao.
Huyu alikuwa na shida, ni kama amejeruhiwa hawezi kusogea au ameshiba sana (kuna kitu kikubwa amemeza muangalie vizuri) sio mnyama mzembe hivi.
 
Samahani sijui ushaangalia kipindi cha snakes in the city ? Nat Geo ?

Mbona yule jamaa huwa anawashika black mamba kirahisi tu hata awe aggressive au wounded ?

Mnaposema Mamba huwa yeye anaanzisha tu vita vyovyote vile napata wakati mgumu kuwaelewa
Hawezi kuanzisha tu vurugu bila kuchokozwa, maneno ya vijiweni haya, kaangalieni Discovery Channel (136) Kuanzia saa moja na nusu usiku kila siku za wiki.
 
Huyu alikuwa na shida, ni kama amejeruhiwa hawezi kusogea au ameshiba sana (kuna kitu kikubwa amemeza muangalie vizuri) sio mnyama mzembe hivi.
Mkuu huyo black mamba hajajeruhiwa wala hajashiba ni umri ndio unampa kibri,dharau pamoja na kujiamini.
Hawa jamaa wakishafikia ukubwa km wa huyo unaemuona upole na uoga hua wanauweka pembeni, muda wote wenyewe wanakua wapo tyr kwa mapambano Yaani wanakua na over comfidence ya hatari, pia wanakua na ghadhabu sana tofauti kabisa na wanavyokua age ya kati.
Ukimuona black mamba anamkimbia binaadamu tambua tu kua huyo bado ule umri wake wa kuhitaji kuheshimiwa na kuogopwa haujafika.
 
Ooh nimekuelewa vizuri
Ila nyoka hana mbabe kwani anavamia bila hodi unless uwahi kumuona na kumshambulia
Lakini watu wengi ni waoga wa viumbe wakali na nyoka ni baadhi ya hao wabaya
Kweli kabisa, ukiwahi kumuona na kama huogopi viumbe wakali basi unaweza kumuua bila tatizo muhimu ni kujua kumuwahi tu ila akikuwahi imekula kwako
 
Naam! mzungu anakiri mwenyewe kuwa Koboko huyo alikuwa amekomaa.
Hapo ndio wananichanganya mara wanasema ni dkk 30 miguu imenyooka.
Halafu huyo aliyekuwa mwanafunzi wakati huo ilimchukua masaa mawili mpaka kufika hospital.
Cha kushangaza ameandika na barua kabisa huku akisema kulikuwa na needles yaani vichomi na maumivu ya ajabu
Bado endelea kuchimba
 
Hapana wala hagongi ovyo mpaka umchokoze mwenyewe au umukanyage, make ile sumu yake imetengenezwa kwa ajiri ya kutafutia chakula, to kill prey, hata pia anavyokugonga yani anaona hasara xana sumu yake ya kuulia wadudu anakuuwa weewe jitu zima
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Tatizo la Koboko tofauti na nyoka wengine ambao ni mpaka achokozwe au ashtuliwe, yeye anagonga tu yeyote atakayekatiza kwenye himaya yake. Wana tabia ya kumiliki himaya ambapo kiumbe chochote narudia kiumbe chochote kikikatiza kwenye himaya lazima akishambulie.

Ni kweli kwetu Tabora huyu mdudu anasumbua sana, wasukuma wanaingia loss ya ng'ombe mpaka utawaonea huruma. Lakini siku za hivi karibuni naona matukio ya Koboko yamepungua sana nahisi wanakaribia kupotea kwenye uso wa dunia.
Wacha wapoteeeee tu
 
Huyu ni Kifutu, kipili, au mambahili
6puffadder1.jpg
 
Back
Top Bottom