Sijaangalia.Samahani sijui ushaangalia kipindi cha snakes in the city ? Nat Geo ?
Mbona yule jamaa huwa anawashika black mamba kirahisi tu hata awe aggressive au wounded ?
Mnaposema Mamba huwa yeye anaanzisha tu vita vyovyote vile napata wakati mgumu kuwaelewa
Kuna kitabu nilisoma ila sina kumbukumbu vzr ni kitabu gani kilikua kinamuelezea Ngamia kua ndio mnyama mwenye uwezo wa kutunza kumbukumbu muda mrefu kuliko mnyama yoyote.Huko Dubai kwenye mbio za Ngamia siku hizi wanapandisha wanasesere baada ya wale wapandaji waliokuwa wakiwachapa ngamia ili wakimbie kuviziwa na kupigwa na ngamia hao..
Hiko kitabu hakikumtaja tembo?Kuna kitabu nilisoma ila sina kumbukumbu vzr ni kitabu gani kilikua kinamuelezea Ngamia kua ndio mnyama mwenye uwezo wa kutunza kumbukumbu muda mrefu kuliko mnyama yoyote.
Sikumbuki km tembo alikua kwenye orodha ya ngapi, inawezekana ngamia akawa na kumbukumbu zaidi kuliko mimi maana sidhani km imefika hata 5yrs tokea nikisome lkn hata jina la kitabu nimelisahau.Hiko kitabu hakikumtaja tembo?
Mmh! anashindana na gari pia??Hadi 20km/h.
Mkuu achana na maneno ya hapa huyo nyoka akigundua ameonwa anatafuta upenyo anakimbia mapema,akibananishwa ndio anakuwa balaa.Nilimsikia mkamata nyoka anasema Black Mamba kabla hajakung'ata anakupa tahadhari!! Sasa maelezo ya humu yako mchanganyiko sana.
Wengine wanasema Koboko ni mshari hata kama hujamchokoza atakufata akung'ate.
Huyu alikuwa na shida, ni kama amejeruhiwa hawezi kusogea au ameshiba sana (kuna kitu kikubwa amemeza muangalie vizuri) sio mnyama mzembe hivi.Wanaosemaga kuwa koboko akikuona huwa anakimbia angalia hii video anavyo wapigia hesabu hawa mapark rangers,huyo aliyekuwa na kamera imebidi aache kurekodi baada Kiboko kuwachenjia kibao.
Bangi inamchemka huyo....ndo maana hashindiki anaipata atakavyo tena kwa wakati @!mikwara mingi sana
NoHivi koboko ndio anaitwa kifutu kwa jina lingine?
Hawezi kuanzisha tu vurugu bila kuchokozwa, maneno ya vijiweni haya, kaangalieni Discovery Channel (136) Kuanzia saa moja na nusu usiku kila siku za wiki.Samahani sijui ushaangalia kipindi cha snakes in the city ? Nat Geo ?
Mbona yule jamaa huwa anawashika black mamba kirahisi tu hata awe aggressive au wounded ?
Mnaposema Mamba huwa yeye anaanzisha tu vita vyovyote vile napata wakati mgumu kuwaelewa
Mkuu huyo black mamba hajajeruhiwa wala hajashiba ni umri ndio unampa kibri,dharau pamoja na kujiamini.Huyu alikuwa na shida, ni kama amejeruhiwa hawezi kusogea au ameshiba sana (kuna kitu kikubwa amemeza muangalie vizuri) sio mnyama mzembe hivi.
1. Poisons work their deadly magic through touch, ingestion, or inhalation, hizi ni kama hizi sumu za panya ukila unakufa.Poison=Sumu
Venom=??? Sijui kiswahili inaitwaje.
Kweli kabisa, ukiwahi kumuona na kama huogopi viumbe wakali basi unaweza kumuua bila tatizo muhimu ni kujua kumuwahi tu ila akikuwahi imekula kwakoOoh nimekuelewa vizuri
Ila nyoka hana mbabe kwani anavamia bila hodi unless uwahi kumuona na kumshambulia
Lakini watu wengi ni waoga wa viumbe wakali na nyoka ni baadhi ya hao wabaya
Hapo ndio wananichanganya mara wanasema ni dkk 30 miguu imenyooka.Naam! mzungu anakiri mwenyewe kuwa Koboko huyo alikuwa amekomaa.
u ndani kweli big up sana MaanFangs za Koboko ziko mbele kwa ajili ya kudunga na kupampu Venom kwa UfanisiView attachment 767325
Fangs za Kifutu ni ndefu na wakati wa kugonga inabidi afungue mdomo woote ili adunge kwa ufanisi.View attachment 767328
Poison=Sumu
Venom=??? Sijui kiswahili inaitwaje.
Nasubiri jibu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hapana wala hagongi ovyo mpaka umchokoze mwenyewe au umukanyage, make ile sumu yake imetengenezwa kwa ajiri ya kutafutia chakula, to kill prey, hata pia anavyokugonga yani anaona hasara xana sumu yake ya kuulia wadudu anakuuwa weewe jitu zima
Aisee mpk kuwika wanawika.Mkuu kama unahamu ya kumuona njoo kagera...nipo sehemu moja pembeni ya ninapoishi kuna pori kubwa...huwa kila siku asubuh namsikia anawika kama jogoo...ukitaka kumuona njoo unitembelee mkuu...huwa naogopa kutoka nje usiku..kuna siku nishawah kutana naye
Wacha wapoteeeee tuTatizo la Koboko tofauti na nyoka wengine ambao ni mpaka achokozwe au ashtuliwe, yeye anagonga tu yeyote atakayekatiza kwenye himaya yake. Wana tabia ya kumiliki himaya ambapo kiumbe chochote narudia kiumbe chochote kikikatiza kwenye himaya lazima akishambulie.
Ni kweli kwetu Tabora huyu mdudu anasumbua sana, wasukuma wanaingia loss ya ng'ombe mpaka utawaonea huruma. Lakini siku za hivi karibuni naona matukio ya Koboko yamepungua sana nahisi wanakaribia kupotea kwenye uso wa dunia.