Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

haha haa
umenikumbusha siku nilienda na beibe shamba kuna michungwa mingii...wakati yeye busy na watu wa shamba mie uhindi ukaniingia kuchkuch hotae mpaka kwenye miti nimchumie mpenzi, gafla mti wa jirani akadondoka nyoka akakimbia na mie mbio nalia kama mtoto mdogo

Hahahahahaaa....mkapishana njia ....pole mi nsingepata muda wa kukimbia aisee ningezimia nadhani,
 
Nyoka walikuwa wanaweza kuua babu zetu tu! Siku hizi mtu ana bunduki lakini akiona nyoka anatoka nduki hageuki nyuma mpaka home.

Pia haujatupa mbinu za kupambana na nyoka huyu au angalau kumuepuka.

Nyoka inasemekana huwa anapafu moja. So hiyo speed anaweza kwenda um bali gani
 
Asante kwa elimu nzuri ulete na elimu kuhusu chatu maana mie nimelikimbia shamba wiki iliyopita baada kukuta vijana wameua chatu shambani kwangu.[l/IMG]

ulipiga picha kwanza ndo ukakimbia!!
 
Nilipita mwaka huu pale monduli meserani snake Park nikapata elimu Nzuri sana ya nyoka, Kuna nyoka wa kutisha kila aina wanapatikana.
 
Hahahahahaaa....mkapishana njia ....pole mi nsingepata muda wa kukimbia aisee ningezimia nadhani,


Weeee! niliaibika mtu mzima nalia hadharani na sikutaka tena kukaa eneo lile nilikua naona nyoka wananijia tu
 
Ni huyu ama!

attachment.php


Au huyu!

attachment.php
 

Attachments

  • Black_Spitting_Cobra_by_ambercrystal_stock.jpg
    Black_Spitting_Cobra_by_ambercrystal_stock.jpg
    82.2 KB · Views: 1,361
Swali; ukitaka nyoka wasisogee maeneo ya makazi kama nyumbani tofauti na kuondoa vichaka karibu kuna njia nyingine? Nasikia hawapendi harufu ya oil au mafuta, kina ukweli?
 
Kwetu tunamwita enchwera. Huwa haumi ovyo ovyo ils anajihami sana na mate yake! Anapenda kutemea usoni machoni...
 

Attachments

  • 1451162290041.jpg
    1451162290041.jpg
    11.1 KB · Views: 621
  • 1451162312171.jpg
    1451162312171.jpg
    13.1 KB · Views: 615
Ukimuona tu muwahi humtemea mate wewe afu mpaka akuume ujue umemzingua sana, nyoja wengi siyo wagomvi ila uoga wetu unamfanya mtu atoe jasho ambalo linatoa harufu kali inayotoa taarifa kuwa kuwa uko tayari kwa mapambano.

Kama akiwahi kukuona na ukawa haupo upande wa makazi yake anakimbia na hii tabia ni kwa nyoka wote. Ila kama upo upande wa shimo/ makazi yake atanyanyua kichwa asubilie ukimwona tu ile harufu ikatoka huyu nyoka silaha yake ya kwanza ni mate km akiona una mzidia anatumia kung'ata kwa wanyama wakubwa ila kwa tabia siyo mgomvi ingawa ana mbio sana.
 
Na mbwembwe zake zote koboko hana ujanja kwa bundi. Ndiyo sababu usiku hatembei.

Kila mtu ana... Oops sorry, kila kitu kina mjanja wake duniani, huyo bundi wala hutamkumbuka siku ukikutana na blackamba live
 
Huku Ngara kuna kijiji ambacho jamaa wanawafuga na kucheza nao michezo mbalimbali hasa kwenye Sherehe za kuupokea Mwenge.

Acha ujinga wewe....hao viumbe hauwezi kucheza nao kabisa, ni viumbe ambao nadhani huwa wanahic kila aliye mbele yao ni adui yao......hao wengine huwa ni chatu tu au sawaka
 
Kunajamaa hawa wanaochezea nyoka wanaofuga nyoka alimkata black mamba akamtoa meno kesho alipienda kumpa chakula meno yake tayari yakawa yameshaota akamgonga akafa pale pale maana alimgonga mara saba .
Black mamba tofauti na nyoka wengine, ukimtoa memo hawez kung'ata na memo mara nyingi anaenda kumtoa lazma kate kucha zake ili ajue memo ya nyoka huyo yashaanza kuota ili amtoe tena maana muda wa kuita kucha uko dawa na muda wa kuota tena memo ya nyoka.
hii ni tofauti kwa black mamba maan ukimng'oa leo meno kesho yameshaota
Halafu black mamba akikugonga haachi meno yake kama nyoka wengine yeye meno yake yana matundu ya kudondoshesha sum.

anayemtoa inabidi akate kucha zinapoota na nyik
 
Black mamba ana nyama tamu kama kamongo,na kama mjuavyo kamongo wa ziwani ni mtamu kushnda nyama ya kuku,uliza mujaluo
 
Back
Top Bottom